Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,747
- 7,113
Ngoja nitafute Kwanza panadol nipunguze machungu halafu ntajua namna ya kupokea habar hizi mbaya za kusikitisha aisee
Ngoja nitafute Kwanza panadol nipunguze machungu halafu ntajua namna ya kupokea habar hizi mbaya za kusikitisha aisee
Pesa yake yeye anaitoa wapi wakati mishahara yao tunajua haifiki mwisho wa mwezi?Ukuu wa shule ni stress asimwambie mtu, Kuna wakati inakulazimu uweke pesa zako Kisha uendelee kuidai serikali vinginevyo mambo hayaendi.
Mkuu wa shule anastahili posho sio Kwa kimavi kile.
😝we kunywa tu,me don't care😓Ngoja nitafute Kwanza panadol nipunguze machungu halafu ntajua namna ya kupokea habar hizi mbaya za kusikitisha aisee
Duh kweli hunitaki wala hutanii,ngoja nitafute karatasi na kalamu hapa Kwa mangi niandike bonge la barua kuwa ndio sababu ya kurest in peace😝we kunywa tu,me don't care😓
Noo babe! Em kaa hapohapo nakuja...umesema unataka kula chakula na mpikaji??? Eti?Duh kweli hunitaki wala hutanii,ngoja nitafute karatasi na kalamu hapa Kwa mangi niandike bonge la barua kuwa ndio sababu ya kurest in peace
Sitaki nimesusa,kesho asubuhi we angalia vichwa vya habar,utasikia former Mwalimu To yeye kamuua ETUGRUL BEY Kwa maumivu ya mapenzi!Noo babe! Em kaa hapohapo nakuja...umesema unataka kula chakula na mpikaji??? Eti?
Em acha bas mwee! Please...em usiandike tena ivi mchepuko wangu plz...yaan NoSitaki nimesusa,kesho asubuhi we angalia vichwa vya habar,utasikia former Mwalimu To yeye kamuua ETUGRUL BEY Kwa maumivu ya mapenzi!
Hakuna kazi ya kijinga km ualimu mkuu.mimi mwenza wangu alikuwa Mwlm mkuu nlipambana aachane nao maana Hadi mshahara wake ufanye majukumu ya shule kisa posho ya laki mbili.kwanza labda Kwa wamjini ila vijijini ni utumwa mwl mkuu anatukanwa na mratibu anatukanwa na wazazi anatukanwa na afisa elimu Bado walimu wenzako hawajaionea donge hyo laki mbili wakuachie kazi zote kisa unaposho yaan ualimu mkuu looh sio kazi nashangaa anapewa lak mbili mratibu laki mbili unusu si sawa kabisaPesa yake yeye anaitoa wapi wakati mishahara yao tunajua haifiki mwisho wa mwezi?
Wee Maisha yalivyo matamu Nani ajiue?Em acha bas mwee! Please...em usiandike tena ivi mchepuko wangu plz...yaan No
At least😂😂😂 njoo uchukue kitecno chako.Range kwio😴Wee Maisha yalivyo matamu Nani ajiue?
Sikia nakuwa kama harmonize,nirudishie range nililokupa chap kabla sijaja mbeya kulifuata mwenyewe!
Sasa hivi unaona hakifai wakati kilikuweka mjini hahahAt least😂😂😂 njoo uchukue kitecno chako.Range kwio😴
Thubutuu😂 iPhone ya yule uliyekuwa unamwona kingwendu niliificha ulipofika😉Sasa hivi unaona hakifai wakati kilikuweka mjini hahah
Hahaha dah we noma uliniweza kweli yaan,bilashaka ndo huyo amekufanya uniache mazima,Sawa mwambie ameshinda bhanaThubutuu😂 iPhone ya yule uliyekuwa unamwona kingwendu niliificha ulipofika😉
Sawa,mi nalalaHahaha dah we noma uliniweza kweli yaan,bilashaka ndo huyo amekufanya uniache mazima,Sawa mwambie ameshinda bhana
Duuh..
Usiku mwema..Ila kwakuwa now umeniacha,ntaanza kukuita brown sugar rasmi,ni Jina la picha moja ya love story nzur Sana, jamaa walikuwa wanapendana ikatokea rabsha za hapa na pale lkn mwisho wa siku wakaja kuweka hisia zao hadharani na kuonyeshana wanapendana,it's a nice movie yaan,ntakuita hivyo hope one day u will love me again, gud night!Sawa,mi nalala
Hahaha..Mi nimeacha aisee....
mpwayungu village unaitwa huku😁Inabidi uoane na Mpwayungu..halafu mzae maticha
Sawa mkuuHahaha..
Wape wenzio mchongo basi😁
ByeUsiku mwema..Ila kwakuwa now umeniacha,ntaanza kukuita brown sugar rasmi,ni Jina la picha moja ya love story nzur Sana, jamaa walikuwa wanapendana ikatokea rabsha za hapa na pale lkn mwisho wa siku wakaja kuweka hisia zao hadharani na kuonyeshana wanapendana,it's a nice movie yaan,ntakuita hivyo hope one day u will love me again, gud night!