TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 441
- 496
Wote kata na wilayaAfisa Elimu ngazi ipi?
Kata au Wilaya?
Wote kata na wilayaAfisa Elimu ngazi ipi?
Kata au Wilaya?
Afisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.Wote kata na wilaya
😀😀😀DaahUalim kwel ni wito maana sii kwa kuchanganyikiwa uko, mpka unaamua kucoment mwenyewe kwenye uzi wako hii hatari
Duh ualimu unalipa ukikomaa unakuwa afisa elimu, kwahiyo ukichanganya na posho mtu analamba m4 kwa mweziAfisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.
Afisa Elimu Wilaya ni mkuu wa idara, analipwa LSSE ambayo ni ngazi ya mshahara wa viongozi, basic ni Kama Tsh 3,000,000 kabla ya Makato
Kwahiyo siku hizi mshikaji wangu tunafichana baadhi ya mambo au sio?Mi nimeacha aisee....
Elimu yangu niliyokuwa nayo wewe huna.Mwalimu ualimu mkuu unakupa stress sana. Omba mwisho mwema na wewe uupate. Lkn Soma kwanzaaa upate ka dip bac au kabachelor
Huyu jamaa ni mwalimu?mpwayungu village njoo tafadhali
Afisa elimu anakula 3,400,000Afisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.
Afisa Elimu Wilaya ni mkuu wa idara, analipwa LSSE ambayo ni ngazi ya mshahara wa viongozi, basic ni Kama Tsh 3,000,000 kabla ya Makato.
Madaraka inatofautiana, Headmaster (primary, secondary na Afisa Elimu Kata )Afisa elimu anakula 3,400,000
Posho 900,000
Madaraka (elimu) 300,000
Huyo Afisa elimu wa wilayaMadaraka inatofautiana, Headmaster (primary, secondary na Afisa Elimu Kata )
Walimu mna gubu sana tumewachoka..Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.
Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.
Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.
Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Unazingua,nilishakuacha😂Kwahiyo siku hizi mshikaji wangu tunafichana baadhi ya mambo au sio?
Umeacha job kimya kimya Yan Bila kunishtua kpnz?
JesusNachukua fursa hii kukupa hongera na pia kukutakia kila lenye kheri na fanaka ikiwa ni kweli usemalo .
Sasa nakuona ukizitimiza ndoto zako , sasa nakuona mabwana wakistick na wewe kwaajilo ya future .
Safi nimefurahi sana , Niko airport ya zamani sema neno nikufikie ule chochote na unywe chochote bill yangu mrembo
mpwayungu village hatimaye God has started to reply.
Nazidi kuwa maskini afu nguvu nyingi natumia kupambania watoto ambao daily wazazi wao wanatudharauTo yeye umezingua sana dada yangu. Why umeacha lakini? Serious?
Mm anifokee mbwa wa mtu haitawezekana aseImagine kosa sio lako afisa elimu, diwani sijui mratibu elimu Kara anakuja kukufokea for no reason ili aonekane anafanya kazi zaidi.
Ndio maana kumbe siku mbili tatu hizi kuna ndoto zilikuwa zinajirudia kuhusu mrembo mmoja kila nikijaribu kuwa nae karibu ananikwepa kiaina hivi,dah kumbe ndio nilikuwa napewa ujumbe hivyo aisee!Unazingua,nilishakuacha😂
Ninyi walimu ndio tatizo kwani mmetengeneza wasomi wasiothamini elimu,wezi,wabinafsi,watu wanaojigamba kwa vyeti tu lakini uwezo wao wa kazi mdogo sana.Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.
Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.
Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.
Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Ee🙅Ndio maana kumbe siku mbili tatu hizi kuna ndoto zilikuwa zinajirudia kuhusu mrembo mmoja kila nikijaribu kuwa nae karibu ananikwepa kiaina hivi,dah kumbe ndio nilikuwa napewa ujumbe hivyo aisee!
Kila sku mpwayungu village anaipambania hii Kada Ila watu wanamdisi , kiukweli ualimu mi kujitakia umaskini wa kutupwa , wachache Sana wanaomake , labda upangiwe mjini na kichwa kiwe kinazunguka hasa , vinginevyo ni kusubiri tuu pension katika umri wa kufunga mahesabuWanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.
Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.
Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.
Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu