Kufanya kazi ya Ualimu ni hatari sana kwa maisha yako

Wote kata na wilaya
Afisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.

Afisa Elimu Wilaya ni mkuu wa idara, analipwa LSSE ambayo ni ngazi ya mshahara wa viongozi, basic ni Kama Tsh 3,000,000 kabla ya Makato.
 
Afisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.

Afisa Elimu Wilaya ni mkuu wa idara, analipwa LSSE ambayo ni ngazi ya mshahara wa viongozi, basic ni Kama Tsh 3,000,000 kabla ya Makato
Duh ualimu unalipa ukikomaa unakuwa afisa elimu, kwahiyo ukichanganya na posho mtu analamba m4 kwa mwezi
 
Afisa Elimu kata mshahara wake ni kawaida Kama walimu wengine, ila ana posho ya madaraka kila mwezi, 250K Tsh.

Afisa Elimu Wilaya ni mkuu wa idara, analipwa LSSE ambayo ni ngazi ya mshahara wa viongozi, basic ni Kama Tsh 3,000,000 kabla ya Makato.
Afisa elimu anakula 3,400,000

Posho 900,000

Madaraka (elimu) 300,000
 
Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.

Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.

Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.

Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Walimu mna gubu sana tumewachoka..
Mshukuru hata kwa kidogo..
Mnalalama wakati sisi wagambo wa almashauri na vimishaara vyetu huku tusemaje..
 
Nachukua fursa hii kukupa hongera na pia kukutakia kila lenye kheri na fanaka ikiwa ni kweli usemalo .

Sasa nakuona ukizitimiza ndoto zako , sasa nakuona mabwana wakistick na wewe kwaajilo ya future .

Safi nimefurahi sana , Niko airport ya zamani sema neno nikufikie ule chochote na unywe chochote bill yangu mrembo

mpwayungu village hatimaye God has started to reply.
Jesus
 
Unazingua,nilishakuacha😂
Ndio maana kumbe siku mbili tatu hizi kuna ndoto zilikuwa zinajirudia kuhusu mrembo mmoja kila nikijaribu kuwa nae karibu ananikwepa kiaina hivi,dah kumbe ndio nilikuwa napewa ujumbe hivyo aisee!
 
Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.

Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.

Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.

Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Ninyi walimu ndio tatizo kwani mmetengeneza wasomi wasiothamini elimu,wezi,wabinafsi,watu wanaojigamba kwa vyeti tu lakini uwezo wao wa kazi mdogo sana.

Hamna sababu ya kulaumu mtu yeyote

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.

Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.

Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.

Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Kila sku mpwayungu village anaipambania hii Kada Ila watu wanamdisi , kiukweli ualimu mi kujitakia umaskini wa kutupwa , wachache Sana wanaomake , labda upangiwe mjini na kichwa kiwe kinazunguka hasa , vinginevyo ni kusubiri tuu pension katika umri wa kufunga mahesabu
 
Back
Top Bottom