Komba, ulijuaje Nyerere atakufa hadi utunge nyimbo za maombolezo yake??

teh teh ndo ukweli mkuu kifo cha Omary Juma kilikuwa cha ghafla na komba alishindwa kutunga album aliishia kutaja majina kama waliavyo watu msibani

Hivi kwanini asitafutwe komba mwenyewe atatue huu utata jamani, mbona mambo ya lulu aliyatolea ufafanuzi!
 
nakumbuka ilikuwa mida ya saa nne pale shuleni, tulikuwa tunajiandaa kwenda kunywa uji. mara tukatangaziwa baba wa taifa ameaga dunia. Hapo hapo tukaanza kusikia nyimbo za komba. Alikuwa ameshatoa album. je hiyo album aliitunga mda gani na alijuaje atakufa? kama wimbo wa haraka kukamilika unachukua hata wiki tatu je album itachukua mda gani? Naomba Komba unifafanulie. Hasa naomba ule wimbo uliobeba jina la album.(taifa lahuzunika pamoja twasema kwaheli..kwaheri baba..mwalimu nyerere).
Hakuna ubunifu hapa. Nyerere alikufa kabla ya Oktoba 14, 1999, lakini kwa jinsi nchi ilivyokuwa uchi kwa umaskini ilibidi kujiandaa. Hili hutokea pote duniani hata kwenye familia zetu.
 
1. Uwanja wa taifa ukapakwa rangi
2. Taa za barabarani(zile za usiku) zikatengenezwa wale wanaoishi Kipawa na vingunguti watakumbuka hili
3. Wakuu wa vyombo vya usalama wakawekwa tayari
4. Msasani kwa mwalimu kukafanyiwa matengenezo


kwani hata ikulu ilianza kufanyiwa matengenezo kuweza kupokea wageni wa msiba
 
alipiga free style ikanoga alipopewa bit kazi ikawa nyepesi sana..ndan ya mda mchache2 kitu hewani...
 
Je kuna ukweli wowote kuwa watu ambao walikuwa wanajua sababu ya kifo cha mwalimu ndo wanaanza kupukutishwa kabla ya uchaguzi? ....Just a theory.
 
Na wale watoto waliokuwa wanaimba wakilia'mwalimu umeondoka...' Walifanya shooting muda gani?
Kuna uvumi kipindi hicho kwamba Mwalimu alikufa ,wakakaa kimya,tukatangaziwa baadae hali ya baba wa Taifa ni mbaya,huku wakijipanga,
then mzee mzima BWM ndio akapata muda muafaka wa kutoa ' breaking news' kwamba Mwl hayuko tena!!!

You have said it mkuu...
Kulikua na interval kati ya kifo cha mwalimu na taarifa ilipotolewa...na hii ni taratibu za kawaida kwenye logistics za kiutawala...na ndo kipindi nyimbo zilipotungwa....
 
Back
Top Bottom