Komba, ulijuaje Nyerere atakufa hadi utunge nyimbo za maombolezo yake??

Kwani.. Wakati maandalizi yanaendelea.... Hakuna alojua kinachoendelea juu ya kifo cha nyerere...?
 
Mkapa kwa kushirikiana na CIA waliandaa kifo cha Mwalimu toka 1997... TOT ilipewa kazi ya kuandaa nyimbo long time! uwanja wa Taifa ulianza kukarabatiwa muda mrefu, rubani alikuwa kwenye mazoezi ya kushusha mwili kwa mbwembwe... USA walilipua ubalozi wao wa Nairobi na Dar kisha wakajenga base ya east n central africa Dar!... someni economist ya 1997 Tanzania after Nyerere... Inauma sana lakini ukweli ndo huo kuwa BWM aliuza nchi... JK ni boya tu linaloongozwa kwa remote...
 
Cia apewe mkapa kwa.lipi ? Acha kujaza watu ujinga. Africa yote hii kwa taarifa yako magharibi wanayo mkononi kabla ya ww hujaiona hewa ya ulimwengu.
 
Nakumbuka ilikuwa mida ya saa nne pale shuleni, tulikuwa tunajiandaa kwenda kunywa uji. Mara tukatangaziwa baba wa taifa ameaga dunia.

Hapo hapo tukaanza kusikia nyimbo za Komba. Alikuwa ameshatoa album.

Je, hiyo album aliitunga muda gani na alijuaje atakufa?

Kama wimbo wa haraka kukamilika unachukua hata wiki tatu, je, album itachukua mda gani?

Naomba Komba unifafanulie,hasa naomba ule wimbo uliobeba jina la album. (taifa lahuzunika pamoja twasema kwaheli..kwaheri baba..Mwalimu Nyerere).

Komba alidhihirisha kuwa ni msanii kwa kufanya kama Sir Elton John
 
Mkapa kwa kushirikiana na CIA waliandaa kifo cha Mwalimu toka 1997... TOT ilipewa kazi ya kuandaa nyimbo long time! uwanja wa Taifa ulianza kukarabatiwa muda mrefu, rubani alikuwa kwenye mazoezi ya kushusha mwili kwa mbwembwe... USA walilipua ubalozi wao wa Nairobi na Dar kisha wakajenga base ya east n central africa Dar!... someni economist ya 1997 Tanzania after Nyerere... Inauma sana lakini ukweli ndo huo kuwa BWM aliuza nchi... JK ni boya tu linaloongozwa kwa remote...

Alaa kumbe...! Ndiyo maana haya yote niliyaona kupitia INDEPENDENT TELEVISION wakati huo nasoma SUA
 
Hii inanifanya nianze kufikiri kwamba wahusika ni wengi sana. Alijuaje kwamba atakufa? Kama alijua nani alimwambia? Masaa na kutunga albamu iliyorindima nyimbo kali? Katika lugha yetu tuna msemo usemao, "Kicheko kiko tumboni." Naweza kusema kwamba kilio kipo tumboni. Wata wanaonekana wanalia lakini kumbe wanafurahi ndani ya mioyo yao. Siku yaja.

Mkuu taratibu kuna sii kubwa nyuma ya pazia!
 
Mkapa kwa kushirikiana na CIA waliandaa kifo cha Mwalimu toka 1997... TOT ilipewa kazi ya kuandaa nyimbo long time! uwanja wa Taifa ulianza kukarabatiwa muda mrefu, rubani alikuwa kwenye mazoezi ya kushusha mwili kwa mbwembwe... USA walilipua ubalozi wao wa Nairobi na Dar kisha wakajenga base ya east n central africa Dar!... someni economist ya 1997 Tanzania after Nyerere... Inauma sana lakini ukweli ndo huo kuwa BWM aliuza nchi... JK ni boya tu linaloongozwa kwa remote...

Dunia ya leo ni vigumu sana kupata ukweli wa mambo yanayoendelea. Just propaganda na confusion everywhere. Mpaka tutakapofika mbinguni yote yatajiweka wazi inshaallah.
 
lait kungekuwa na utaratibu wa marais wanapomaliza muda wao waangekuwa wanaelezea achanagamoto walizokutana nazo JK mngemuonea huruma Sana...
Dunia ya leo ni vigumu sana kupata ukweli wa mambo yanayoendelea. Just propaganda na confusion everywhere. Mpaka tutakapofika mbinguni yote yatajiweka wazi inshaallah.
 
Mbona hata za msiba wake mwenyewe tayari alikwisha tunga, subiri utasikia kwenye maombolezo yake wiki hii zikipigwa
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom