Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,727
- 218,289
Ugonjwa na hali ya aliyokuwa nayo Nyerere huko Hospitali Uingereza hakuna ambae hakujuwa kuwa hiyo ndiyo ilikuwa safari.
Uongo kudadadeki !
Ugonjwa na hali ya aliyokuwa nayo Nyerere huko Hospitali Uingereza hakuna ambae hakujuwa kuwa hiyo ndiyo ilikuwa safari.
Uongo kudadadeki !
Unaropoka utafikiri unajua kazi kujititia huko nyuma kama ulikuwepoUgonjwa na hali ya aliyokuwa nayo Nyerere huko Hospitali Uingereza hakuna ambae hakujuwa kuwa hiyo ndiyo ilikuwa safari.
kwani inachukua muda gani kutunga wimbo? kwa mtunzi wa ukweli masaa 4 yanatosha kabisa mbona kuna wasanii wa ubongo wa fuleva huwa wanatungia nyimbo studio na kurecord siku hiyo hiyo
Haya wewe mkweli, una lingine zaidi? tusibishane kijinga.
kwani inachukua muda gani kutunga wimbo? kwa mtunzi wa ukweli masaa 4 yanatosha kabisa mbona kuna wasanii wa ubongo wa fuleva huwa wanatungia nyimbo studio na kurecord siku hiyo hiyo
Mbona kifo cha Omari Ali Juma makamu wa Rais alishindwa kutunga nyimbo kama za Nyerere? Aliishia tu kuimba Omari Omari uko wapi?
Da... Maswali rahisi huwa yanaibua mengi. Nimebak njia panda
nimecheka kweli !
yes nilishawekewe ulishakula maharage yaliyovaa tai wewe nakumbuka tuliyagomea wakapeleka kwa mkemia mkuu jibu ni kuwa ni salama kwa afya. Boarding huwa wanaweka mafuta taa kwajili ya kusaidia kupunguza matamanio ya mwili. Hehe nikikumbuka kwa njeka na mkwakwani hehe kwa wale wenzangu nilosoma nao shule moja watajua naizungumzia shule gani
Uongo kudadadeki !