T.O.T BandHivi Komba alivyofariki nani alimwimbia????
Hivi Komba alivyofariki nani alimwimbia????
Wadau alie na nyimbo za maombolezo ya kifo cha Nyerere zilizoimbwa na marehem Komba....
Naomba aziweke hapa.....
NapeHivi Komba alivyofariki nani alimwimbia????
Sawaaa....ni PM upo mmoja hapaSorry Prince D, naomba kupitia uzi wako niombe zile za DDC Mlimani Park kwenye maombolezo hayohayo
Leo nimesikiliza kipindi cha "Hizi nazo" cha Radio One Stereo, nimefurahi sana japo hazikuwa nyimbo za maombolezo ila nyimbo zilizopigwa ilikuwa ni darasa tosha la kumfahamu mwl Nyerere kuwa alikuwa nani na ni nani.Wadau alie na nyimbo za maombolezo ya kifo cha Nyerere zilizoimbwa na marehem Komba....
Naomba aziweke hapa.....
Mshumaa huwaka polepoleNyimbo nzuri zilizoteka hisia wakati ule zilimbwa na wanafunzi na baazi ya vikundi mfano wa nyimbo
1.Parapanda italia Parapanda
2.Kilio ham Kilio ham huu wimbo dah watoto walikuwa mpaka na wewe unalikuta unalia
3.hii sasa ndio ilikuwa funga kazi kwa wanakumbuka alikuwepo mzee moja hivi yeye peke yake ebwana anaimba uyo nakumbuka baadhi ya mashairi nyerere baba wa taifa nyerere tuna kulilia
Yani kipindi cha maombolezo mda ule Kuna nyimbo zilipendwa ilikuwa ITV wakipiga tu huo wimbo basi lazima ukimbilie TV
Mimi ninazo karibia zote kwenye cassette. Nilitumia muda mwingi kuwa nazirekodi kutoka redioni kipindi cha huo msiba.Nadhani nyimbo nyingi za maombolezo zilihifadhiwa na kutoruhusiwa kuwa free. Maana hata zile kanda za tape zenye mkusanyiko wa hizo nilishatafuta sizipati. Si uongo ukiwa disappointed ukazisikiliza nyimbo zile hata nafsi inaweza badili kisasi ulichonacho
Yule wa buriani baba nyererex2Nyimbo nzuri zilizoteka hisia wakati ule zilimbwa na wanafunzi na baazi ya vikundi mfano wa nyimbo
1.Parapanda italia Parapanda
2.Kilio ham Kilio ham huu wimbo dah watoto walikuwa mpaka na wewe unalikuta unalia
3.hii sasa ndio ilikuwa funga kazi kwa wanakumbuka alikuwepo mzee moja hivi yeye peke yake ebwana anaimba uyo nakumbuka baadhi ya mashairi nyerere baba wa taifa nyerere tuna kulilia
Yani kipindi cha maombolezo mda ule Kuna nyimbo zilipendwa ilikuwa ITV wakipiga tu huo wimbo basi lazima ukimbilie TV