huwezi kutofautisha nyimbo za msiba na kampeni. Kongole TOTNyimbo za siku hizi kwa ajili ya maombolezo zinazotungwa na kuimbwa na watoga pua na masikio ni kero tupu, yaani zinakera sana, yaani totaly hawajui ni vyema wabaki wanaimba za mapenzi tu, za maombolezo na uzalendo wawaachie TOT, TOT kongole kwenu!