Komba, ulijuaje Nyerere atakufa hadi utunge nyimbo za maombolezo yake??

wewe mkurugenzi wa hbr na uenez wa jf ccm kwa taarifa yako hii nchi sio yenu wala cdm ni ya watanzania. hutamkabidhi mtu wa ccm wala cdm. ni nchi ya watanzania wote. saa yoyote ccm wanaweza wasiwe madarakani wakawepo watanzania wenye uchungu nayo.
 
kutunga si kazi ndo maana katika mziki kuna kitu kinaitwa free style!katika usanii kitu kinaweza kuchukua mda mrefu ni kubuni melody!komba hizo melody alizotumia zilikuwepo kabla so yeye kazi yake ilikuwa kuingiza vocal tu!sidhani kama msanii anapewa beat iliyokuwa tayari akashindwa kuingiza maneno ya papo kwa papo!
 
wimbo gani alitunga nusu saa? Kuingiza vocal ilichukua dakika ngapi? Hahahaaaa...mkuu wewe ni noma.

aaargh! Kwendeni huko! Mbona dr. Remmy alikuwa akitunga na kuimba yuko jukwaani kabisa! Mnataka kutuaminisha vitu gani sasa?
 
Mimi binafsi kama napewa beat sasa hivi!natoa kibao kuhusu mod kufuta thread baada ya slaa na demu kuzidiwa jana!!!nipeni beat muone halafu niwasikie kama mtajiuliza nilijuaje kama silaa jana angechemka!!!!
 
huo ubaya wa hali ya baba wa taifa waliosema madaktari ndio tunaoushangaa!!!

Yeye alitoka hapa mzima kabisa, nini kilikuja kumpata tena??

kwani mzima haumwi? Kilichokuja mpata si ni kifo? Au ye' hakustaili kufa? Acheni uzushi hapa!
 
aaargh! Kwendeni huko! Mbona dr. Remmy alikuwa akitunga na kuimba yuko jukwaani kabisa! Mnataka kutuaminisha vitu gani sasa?

hilo siyo tatizo. je atatoa album kwa siku ngapi na kufyatua copy? kumbuka baada ya Baba makongoro kufa mabox na mabox yenye nyimbo za maombolezo zilianza kusambazwa tanzania nzima. tulikua tunaangalia siku hiyo hiyo itv historia yake huku wakichombeza na nyimbo za video za komba. Munieleweshe sio kunikalipia. Musiingize mambo ya freestyle.
 
Mimi binafsi kama napewa beat sasa hivi!natoa kibao kuhusu mod kufuta thread baada ya slaa na demu kuzidiwa jana!!!nipeni beat muone halafu niwasikie kama mtajiuliza nilijuaje kama silaa jana angechemka!!!!

Mh..yani kama unatetea huu umafia. Inaezekana na wewe ni mmoja mliokuwa kwenye system kipindi kile. Na inawezekana unajua siri hiyo nzito
 
hilo siyo tatizo. je atatoa album kwa siku ngapi na kufyatua copy? kumbuka baada ya Baba makongoro kufa mabox na mabox yenye nyimbo za maombolezo zilianza kusambazwa tanzania nzima. tulikua tunaangalia siku hiyo hiyo itv historia yake huku wakichombeza na nyimbo za video za komba. Munieleweshe sio kunikalipia. Musiingize mambo ya freestyle.

Mkubwa kuna watu wametumwa kuja kutetea huu umafia hapa... Na wengine nahisi huo umafia walihusika.

Inawezekana BWM yumo kwenye hii thread, anatoa utetezi.
 
Hakuna cha kuuliwa baba yenu wala nini na muwache uzushi jamani eeeeeeeeeh. Nyerere alishakufa at least siku tano kabla, alikuwa kwenye life supporting machine wakisubiri ruhusa kutoka kwa familia ili iwe switched off. Scenario zote hizo zilikuwa zinaripotiwa kwenye website ya BBC lakini kwa sababu ya ushamba wetu wa internet mwaka 1999 watz walikuwa wanasubiri ripoti kutoka radio na television.

Katika kipindi hicho nilikuwa UK nikipiga kitabu na wa afrika ya mashariki tulikuwa tunafuatilia kwa makini kwenye mtandao. Walipozima lile limashine tu akawa declared dead.

Sasa hapo kwa nini Komba asipate nafasi ya kutunga nyimbo zile za msiba wakati walishajua kwamba uwezekano wa kurudisha uhai haukuwepo?

Umenikumbusha mbali mkuu, yule waziri mkuu wa Israel Ariel Shalon aliwekewa hiyo life suppoting machine tangu mwaka 2004 nasikia mpaka sasa hawajalizima.
 
Nitawasaidia kitu kimoja hapa. Najua watu wengi hawajui kuwa nyimbo nyingi za Komba zinatokana na "folk songs" za Wangoni. Wangoni wanazo nyimbo nyingi sana kwa wakati mbalimbali kama ilivyo kwa makabila mengi. Kuna nyimbo za wakati wa mavuno, nyimbo za burudani (harusi n.k) na nyimbo za misiba. Komba kwa kiwango kikubwa sana amechota kwenye nyimbo hizi nyingi na kuzibadilisha maneno kwa Kiswahili.

Nyimbo zake kama "Acha Turinge", " (Watanzania hao) nambari wani" melody zake inatokana na nyimbo za kingoni alichofanya yeye ni kubadilisha maneno. Kwa wanaokumbuka hii ilikuwaw kweli wakati wa Msiba wa Sokoine vile vile. Hivyo, hata leo likitokea tukio kubwa haitaji kutengeneza melody anahitaji kubadilisha maneno tu. Bahati mbaya sana melody ya nyimbo hizi za kingoni watunzi wake hawajulikani kwa sababu nyingi zimeimbwa vijijini na zimepitishwa kutoka kizazi na kizazi hivyo inakuwa hata vigumu kumcredit mtunzi hasa.

Binafsi sijajua hasa ni nyimbo gani hasa ambazo Komba katunga melody yake bila kuchota kwenye nyimbo za kingoni.

Umenena vyema mzee, licha ya maelezo yako mazuli bado hayawez kujib swali hilo hapo juu, ok Komba kabadilisha maneno wimbo keshaushika ndan ya masaa kadhaa, vipi kuhusu kuwashikisha mavocalists wengine? Vipi kuhusu kukompoz mziki? Vipi kuhusu kuingiza voko studio? Vipi kuhusu kufanya mixing? Vipi kuhusu kuplodyuzi na kupeleka studio? Haya yote ni dhahili yanahitaji muda wa kutosha hasa ukizingatia na uzito wa tukio lenyewe.
 
Nitawasaidia kitu kimoja hapa. Najua watu wengi hawajui kuwa nyimbo nyingi za Komba zinatokana na "folk songs" za Wangoni. Wangoni wanazo nyimbo nyingi sana kwa wakati mbalimbali kama ilivyo kwa makabila mengi. Kuna nyimbo za wakati wa mavuno, nyimbo za burudani (harusi n.k) na nyimbo za misiba. Komba kwa kiwango kikubwa sana amechota kwenye nyimbo hizi nyingi na kuzibadilisha maneno kwa Kiswahili.

Nyimbo zake kama "Acha Turinge", " (Watanzania hao) nambari wani" melody zake inatokana na nyimbo za kingoni alichofanya yeye ni kubadilisha maneno. Kwa wanaokumbuka hii ilikuwaw kweli wakati wa Msiba wa Sokoine vile vile. Hivyo, hata leo likitokea tukio kubwa haitaji kutengeneza melody anahitaji kubadilisha maneno tu. Bahati mbaya sana melody ya nyimbo hizi za kingoni watunzi wake hawajulikani kwa sababu nyingi zimeimbwa vijijini na zimepitishwa kutoka kizazi na kizazi hivyo inakuwa hata vigumu kumcredit mtunzi hasa.

Binafsi sijajua hasa ni nyimbo gani hasa ambazo Komba katunga melody yake bila kuchota kwenye nyimbo za kingoni.

Umenena vyema mzee, licha ya maelezo yako mazuli bado hayawez kujib swali hilo hapo juu, ok Komba kabadilisha maneno wimbo keshaushika ndan ya masaa kadhaa, vipi kuhusu kuwashikisha mavocalists wengine? Vipi kuhusu kukompoz mziki? Vipi kuhusu kuingiza voko studio? Vipi kuhusu kufanya mixing? Vipi kuhusu kuplodyuzi na kupeleka kituoni? Haya yote ni dhahili yanahitaji muda wa kutosha hasa ukizingatia na uzito wa tukio lenyewe.
 
.
Umenena vyema mzee, licha ya maelezo yako mazuli bado hayawez kujib swali hilo hapo juu, ok Komba kabadilisha maneno wimbo keshaushika ndan ya masaa kadhaa, vipi kuhusu kuwashikisha mavocalists wengine? Vipi .kuhusu kukompoz mziki? Vipi kuhusu kuingiza voko studio? Vipi kuhusu kufanya mixing? Vipi kuhusu kuplodyuzi na kupeleka .kituoni? Haya yote ni dhahili yanahitaji muda wa kutosha hasa ukizingatia na uzito wa tukio lenyewe.
Mkuu mdhima wewe?
 
Back
Top Bottom