ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,359
- 2,273
nimeupenda huu ubunifu. Je kodi inalipwa hapo ?Mabasi yapo pale Jangwani sshv yamegeuka Sehemu ya Utalii wa ndani,Kuna walinzi unawapa Tsh 500 unapiga nayo Picha maisha yanaendelea
nimeupenda huu ubunifu. Je kodi inalipwa hapo ?Mabasi yapo pale Jangwani sshv yamegeuka Sehemu ya Utalii wa ndani,Kuna walinzi unawapa Tsh 500 unapiga nayo Picha maisha yanaendelea
mkuu umenifurahishaLabda yatazinduliwa siku ya wapendanao aka valentines day
Nasikia kwenye magazeti ya leo wametaja sababu za kukwama mradikuna haja ya kufungua account youtube kuwa tunaupload ahadi na maigizo ya viongozi wetu wanapokuwa wanatuzuga live kwenye taarifa za habari, miaka ijayo watukuu wetu wenda wakajifunza.
Kinyerezi tu pale zimetamkwa kauli karibu mia
Upembuzi Yakinifuwanafanya uchambuzi yakinifu
Halafu kelele zooote Kinyerez kumbe MW 240 tukuna haja ya kufungua account youtube kuwa tunaupload ahadi na maigizo ya viongozi wetu wanapokuwa wanatuzuga live kwenye taarifa za habari, miaka ijayo watukuu wetu wenda wakajifunza.
Kinyerezi tu pale zimetamkwa kauli karibu mia
tuko kwny nchi ya kufikirika, nchi tata kuliko zote dunianiTunaishi enzi za wagagagigikoko
Huu mrafi ulikuwa mzuri sana ila uneingizwa siasa....mibasi gani hio ya kichina dadeki zao
Hawa jamaa walijua kikwete ndiye ataendelea nini... Wasefenge kweli hawa wajingaNasikia NMB,CRDB Nawao walikopwa na mwenye kampuni wanataka pesa yao
Mambo iko hapaNijuavyo
Kwanza kunamkanganyiko wa nan uendeshe mradi huu maana mwanzo ilikuwa uda, ila nadhan baada ya uchambuzi wa awam ya 5, kukawa na mapungufu ukapigwa stop
Pili nauli ilipangwa kubwa, na hvyo badala ya nafuuu ikawa mzigo, serikali ikapiga stop kuwa wakachakate upwa bei
Tatu kunatetesi za uda kwa maana ya mmiliki kufilisika hivyo kushindwa kujiendesha maana inamaden mengi
Tano uda ina umiliki wa ama wa remote au wa makubaliano nje ya mfumo rasmi kwa viongozi wakubwa wa nchi hii na taarifa zimefika kwa jpm, na yy akakataa kuona huo mradi ukianza
Sita, huenda pia mradi ukawa na madudu mengi ikiwa ni pamoja na vifaa vingi kuingizwa bila kulipiwa kodi na hvyo tra wanataka kodi na uda hawana,
Zinaweza kuwepo zingine wadau wataongezea...
Huo mradi ulikuwa kimeo tangu ulivyoanzishwa,binafsi sikuona kama utaleta positive impactHuu mrafi ulikuwa mzuri sana ila uneingizwa siasa....mibasi gani hio ya kichina dadeki zao