Mr Shitwiku
New Member
- Feb 8, 2016
- 2
- 3
Mradi wa DART upo chini ya Serikali nikimaanisha Miundombinu ila Vitendea kazi ndio vinamilikiwa na Kampuni binafsi,Hya mabasi yaliingia km Mradi wa umma kwahyo kwahyo hayakulipiwa Ushuru,baada ya JPM kuingia madarakani ikasemekana huu ni wa Serikali ila Vitendea kazi ni binafsi kwahyo Mmiliki anatakiwa alipie Ushuru wa Billion 8 mabasi yapo 140