Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,633
Kitu kizuri kuliko vyote kwa mwanadamu ni kile ambacho ukiwa nacho hujui thamani yake mpaka ukiwa huna. mfano usingizi huwezi kusema mtamu ukiwa usingizini mpaka uamke ndio utasema usingizi ulikuwa mtamu. Au umuhimu wa elimu huwezi kuujua hadi ukishafeli na uko mitaani ndio utasema ningejua ningekazana shule.
Nawasilisha.
Nawasilisha.