Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
kutokumiliki njaa.
Kitu gani?
Lol.BelivdatKukaa kama wiki mbili bila kuoga halafu ndo uoge, utajihisi mwepesi kama Usain Bolt.
Kuchunguliana.Belivdat!Wana Jf naomba kujuzwa. Ni kitu gani kizuri kupita vitu vyote hapa duniani ambacho mwanadamu akikifanya hujisikia faraja zaidi? Mfano wengine usema kuwa ni usingizi, chakula, mazungumzo, tendo la ndoa n.k. Wewe mwana JF, ni kitu gani bora zaidi. Karibu tufunguke.
Naunga mkono.Kuwa na afya nzuri plus akili timamu
kufa.... Kwani utamu wake ni balaa hakuna aliyerudi kitaa