Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
...kwa ujinga kama huu, ipo siku JK naye kwa anavyopenda kujichanganya, atakula kipondo!
...Mjinga kama huyo anayejidai kutumia kivuli cha uislamu kuonyesha ujahili wake kiasi cha kumdhalilisha Mtu mzima kama huyo, achilia mbali urais Mstaafu, ni kitendo kinachofaa kulaaniwa kwa nguvu zote!
Mkuu, nadhani hata hapo alijiachia sana sasa mtu akiamua kutake aim watamkinga vipi? Icadon hebu tusaidie mkuu?