Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,244
- 113,628
Invisible,
..ALHAJI kashambuliwa kwenye shughuli ya KIDINI.
..halafu wachangiaji wameshaanza kuleta hoja za KADHI,BAKWATA, etc etc.
..hata huyo aliyemshambulia inawezekana kabisa amefanya hivyo kwasababu za KIDINI.
..moderator fanya kazi yako. peleka hii kwenye ukumbi wa DINI-DINI.
Jokakuu, hii sio ishu ya kidini bana. Wewe unayesema ni ya kidini ndio unataka kuigeuza kuwa ya kidini.
Habari hapa ni raisi mstaafu kuzabwa kibao (kama ni kweli) mbele ya watu.