PILSNER
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 428
- 740
Nafufua kaburi hili huku nikistaajabu comment hii imekuja kuthibitika miaka 14 baadae..... jf ya zaman ilikuwa na watu wazito Sana wakuuHalafu huyo Mwinyi ni tapeli,yeye ndie anamuandaa mwanawe eti akatawale Zanzibar ,ni kibaka kwa sababu ni mmoja alieamua CCM ishinde kwa vyovyote na ndie mmoja alieweka mkakati wa kutumia nguvu za kijeshi kuisimika Usultani wa CCm Zanzibar ni mtu mmbaya sana ambae kuuwa kwake ni rahisi sana kwa tamaa ya madaraka,ila ukimsikiliza ana maneno mazuri lakini ni mnafiki wa kutupwa hana ukweli anaitumia dini kama kivuli cha kujificha au anaitumia kama ukuta mkubwa uliozunguuka wacheza ngoma,hivyo huwezi kuwaona wanaocheza kwa jinsi ukuta ulivyo mkubwa.Ndivyo mheshimiwa huyo alivyojivika dini. Na watu wamemsitukia ndio moja ya sababu ya kuzabwa kibao