Kingunge amechanganyikiwa?

Waraka unaelezea sifa za kiongozi,na kwa kuwa imani za dini husaidia watu kuwa na hofu ya Mungu itasaidia kupata watu wenye busara kutuongoza.Vyama vya siasa CCM ikiwa ni moja ya vyama vimekwenda nje ya utaratibu wa kupata viongozi,zamani afadhali sifa za kiongozi zilikuwa zikitazamwa ili kupata viongozi waadilifu,pia Mwalimu alikuwa anajitahidi kuwa mkali na wizi na ubadhirifu japokuwa nae alikuwa na mapungufu yake.Ni lazima viongozi wa dini waelimisha waumini sifa za viongozi kulingana na vitabu vitakatifu vinavyoeleza.Mzee Kingunge amalizane na suala la ubungo na atoe maelezo ya kuridhisha iweje yeye anayejiita mtu safi familia yake ihusishwe na madudu ya parking za magari na menejimenti ya ubungo bus terminal,pia mwanae anayejisifia anaishi kwenye nyumba ya dola milioni moja za kimarekani,je yeye kama mzazi hausiki na kuhusishwa na ufisadi huo?Tatizo la viongozi waliozoea kuishi kama miungu watu wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali........
 
Kingunge anasema kuwa anafahamu mengi ya nchi hii na hata ya wakatoliki.anataka kuiambia nini jamii hasa kizazi cha sasa na miaka yake 50 tangu tupate uhuru?

Wana jf hebu tumchambue huyu kibabu.aliye na habari zake alete hadharani
 
2009-08-14 08:19:00

Kingunge defiance draws sharp criticism
By The Citizen Reporters
THE CITIZEN




Veteran politician Kingunge Ngombale-Mwiru's defiant stand on the Catholic Church's circular on the 2010 General Election has attracted severe criticism.

Many people who spoke to The Citizen yesterday said his comments were misguided. Some called for a wider distribution of the document, which is meant to enlighten voters on how to make informed decisions in the elections.

United Democratic Party national chairman John Cheyo urged the Church to reprint many copies of the document and distribute them to as many Tanzanians as possible.


He told a press conference that he would advise the Tanzania Centre for Democracy (TCD) to also reproduce the document and assist in its distribution to ensure every Tanzanian gets a copy.

Mr Cheyo, a presidential candidate in 1995 and 2000 elections through UDP, who is also the Bariadi East MP, said he had read the document and found it helpful to voters.

He hit out at those criticising the document because, in his opinion, it would go a long way in ensuring "ethical politics".

Mr Cheyo made the remarks when addressing a press conference at UDP headquarters in Dar es Salaam.

He was supported by his younger brother and former MP, Mr Isaac Cheyo, who commended the Church for coming up with the document.

A lecturer of philosophy at the University of Dar es Salaam (UDSM), Dr Adolph Mihanjo, said critics of the document had not fully understood its content.

"The social function of religion has always been to shape humanity. If the document's content is all about a good society and humanity, then should we believe now that those against it do not want a better life for all Tanzanians?" he asked.

Dr Mihanjo, who described the document as "the text of knowledge", said people should not worry because its content gave directives that mirrored humanity.

The don said Mr Ngombale-Mwiru should retire from active politics and stop commenting on "controversial issues like this one because times have changed".

Chadema secretary general Willibrod Slaa also criticised Mr Ngombale-Mwiru, saying:

"When I launched in Parliament the campaign against corruption, Mr Ngombale-Mwiru said I was misleading people with misplaced accusations. Now he?s criticising a document which pushes for leaders with integrity?we should ignore him."

A senior philosophy lecturer at the UDSM, Dr Azaveli Lwaitama, expressed his surprise that Mr Ngombale-Mwiru was still on the issue.

Said he: "If the issue is very critical, why doesn't Kingunge present it to appropriate authorities, such as CCM organs like the National Executive Committee? The media should stop entertaining this and dwell on other important issues.

"I feel sorry for those viewing the matter as religiously divisive because they are the ones who are endangering national peace," Dr Lwaitama said.

A lawyer-cum-activist, Mr Tindu Lissu, said he was glad that Mr Ngombale-Mwiru had come out in the open and shown Tanzanians what kind of leaders they had. He said the document advocates for good leadership, and those who opposed it were against good leadership.

President of the Tanzania Episcopal Conference (TEC) Yuda Thadei R'uwaichi, who is the bishop of the Dodoma Diocese, told The Citizen that he could not comment on Mr Ngombale-Mwiru's remarks as he was on a pastoral mission in a "very remote area".

"I haven't read his reaction, and I'm thus not in a position to comment," he said.

But the Anglican Archbishop, Dr Valentino Mokiwa, said it was Mr Ngombale-Mwiru, who was supposed to apologise to the Catholic Church for his "unjustified" attack on the pastoral letter, which, he added, intended to prepare voters for next years? General Election.

Dr Mokiwa told The Citizen yesterday that the Church did nothing wrong in issuing the document because it was its responsibility to provide guidance to the society.

"With all due respect, I?m asking Mr Ngombale-Mwiru to apologise to the Church. We are not here just to preach peace and the wellbeing of the people, but it is also our responsibility to champion changes in society," said Dr Mokiwa, who is also chairman of the Christian Council of Tanzania (CCT).

He said the letter was there to stay, adding that those who were demanding for its withdrawal were wasting their time.


Reported by Elias Mhegera, Frank Kimboy and Paul Dotto
 
Kingunge anachofuka ni kwamba amekuta waraka umetolewa na jamii ambayo haiendeshi serekali,angefurahi kama ni yeye andetoa hilo wazo sasa ni too late, hao TCD watandika nini zaidi ya huu waraka?hayohayo ndo yanayoleta uongozi mbovu nchini, UBINAFSI, na kwamba fulani tu ndo watoe maamuzi kwa wengine kutekeleza, ni kama mzazi ambae yeye daima yupo sahihi, mtoto akitoa mawazo hata kama ni mazuri basi yanafutiliwa mbali kisa ni ya mtoto na si ya kittoto anyway, kingunge apumzike bwana, tushamchoka hana jipya hajaleta jipya, mzee aliekufa kifikra
 
Badala ya kuita ILANI (Hii ni kwa vyama vinavyotaka dola) wangeita orodha ya vipaumbele. Nadhani wangepunguza mzozo na wanasiasa.

Neno Ilani katika Kiswahili lina maana
1. Tangazo, hususa la kuonya watu au kutahadharisha kuhusu jambo au kitendo fulani,
2. Tangazo la mpango au madhumuni ya chama cha siasa hasa wakati wa wa uchaguzi.

Kwa mantiki ya maana ya kwanza Kanisa Katoliki halikukosea kutumia neno ILANI.
Sasa akina mheshimiwa Kingunge na wenzake watafute njia nyingine ya kutaka kuwapumbaza watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi nahsi mzee kingunge amesema kweli. kwani amesema ndani ya waraka huo uansema " kanisa litahakikisha linaweka watu wake na kuwadhibiti" sasa jee kanisa litapofanikiwa kuweka watu wake na kuwadhibiti . itakuwa kwa manufaa ya nani?

Wewe kweli MALARIA SUGU!
 
Repent Kingunge now tells Catholics

UNLIKE the hypocrites and demagogues in CCM and the parliament I am for the first time, fully behind Mzee Kingunge and now more ever than before believe in his sound judgement and admirable foresight.

Countrymen, let us pull back, and take a looong look at the mishaps that have deliberately or accidentally befell our people and land because of SOME VERY CLERGY MEN who think they are anointed by God to be the choosers of our leaders.

I say this because I have never seen anywhere in the world where a president, chairman of political party and the rulling party in fact being subordinated to the Church or any other religion for that matter in a true democractic country.

There is no way in Africa where we can let sheikhs or bishops HAVE THE LAST say in how the government decides and operates and at the same time GUARD PEACE AND UNITY in a country?

Wherever you see such thing happen, that is, a leader being led by those whom he is leading then the leader is weak and useless.

For those CCM members and parliamentarians who believe there is nothing wrong with the recent position adopted by the Catholcs one thing is for sure -they are demagogues. They believe they can hunt with the foxes and run with the hare at the same time. Something neigh impossible....at least for me!

If we let the church preach politics then what will political parties do? Become jobless? And which religion will ever back a man from a rival sect or faith order ? Will not things be like at TBC- a national broadcaster who is competing with religious station and actually is outdoing even the private faith station in spreading the word of God? Directionless? Overzealous Board members and Management at TBC ? Nowdays, after the 7 a.m. news the TBC has 5-7 minutes dedicated to a single religion announcements/advertisements. What is this Mr. Director? After the announcement expect one or two gospel songs? What an entertainment in a national broadcasting Organ ?

Watanzania katika miaka hii ya vituko na maajabu ni kwamba mwizi mkubwa ndiye anayetaka kuwa Mkuu wa Polisi ili akiiba pasiwe na wa kumshuku; mzinzi mkubwa ndiye anayetaka kuwa mwalimu wa shule au chuo chenye wasichana wengi ili afanye biashara yake; wajinga, mabahili, wabinafsi wakubwa na mabaradhuli wasiokuwa na nia yoyote ya kumsaidia mwananchi wa kawaida wanakimbilia siasa ili kudanganya kuwa wana kitu wanachotoa; malaya mkubwa hutaka kuwa na kazi au cheo chenye heshima ili umalaya wake usijulikane; na ndivyo ilivyo kwa wauaji, wavunja nchi na wasambaratisha jamii wakubwa nao hutaka kuwa viongozi wa dini ili wanapofanya kazi yao ya kuikokota jamii kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe pasiwe na anayewashuku. Tujihadhari, tujihadhari, tujihadhari au tutakuja lia na kusaga meno kwa miaka mingi katika muda mrupi tu kutoka sasa!
So wat z ua arguiment? The roman catholic as a church or the message?And as wise men, should we judge the person/institution or the content? ROMAN CATHOLIC'S PAPER IS IT THE ADVICE OR THE LAST SAY
the way u put it? And how will you separate the body(flesh) and the soul? Do you want to say we should not dare how much our body is suffering from the fisadis geedy behaviours? And if not for the churches, mosques, who should lead the way then? the fisadis? NO WAY. Do you know the politics and the preachings are all under the mother law (the constitution)? And any one who breach should be brought to court? EVEN THE KINGUGE HAS FAILED TO PROVE THEM GUILT? MY FRIEND THIS COUNTRY DOES NOT BELONGS TO RELIGION NEITHER NOR IT BELONGS TO THE POLITICIANS. NO BODY HAS THE LAST SAY.WHAT YOU CAN DO IS TO ADVICE THE WAY THE CHURCH HAS DONE.THE LAST SAY IS THE TANZANIAN MOJORITY.IF THE MAJORITY ARE DENIED THE LAST SAY THEN TANZANIA IS A DICTATORSHIP COUNTRY, WHICH WE ARE NOT. For ua information important matters concerning the nation the church and mosque leaders are involved, because they form the biggest part of tanzanian population. CCM said they have 5mil. members, so where are the rest 37mil.tanzanians?. NO POLITICIAN CAN IGNORE SUCH NUMBER. By the way the catholic has welcome other religion, denominationS and civil societies to come up with their papers.That means it is meant for education not personal interest. This makes it a great challenge that u need to think twice before you step into critics.
 
kingunge yuko sawa ila wenye ajenda za siri ndio wanaotaka kumchafua

anasema kama mwalimu angedai uhuru kwa kutumia biblia au waislamu kwa kutumia quraan pasingepatikana umoja wa kitaifa

nchi zenye dini nyingi dini haiwezi kutumika kama chombo cha kuwaunganisha WATU maana kila imani inaamini kivyake

mambo ya ilani ni mambo ya vyama vya siasa wakubali wakatoliki wamechemsha


Namshangaa Kingunge analia lia wakati waraka umekuwa sasa kama moto pori .Unashika kasi ile mbaya .Waislam nao wana andika je atakuja kulia nao ama wame ghaili ? Si walisema baada ya Bunge watatoa waraka wao ?
 
Sioni mahali popote ambapo waraka huo wa Katholiki unashabikia kwa namna yoyote uwakilishi wa kidhehebu. Waraka huo haujasema kiongozi bora ni lazima awe mkristu, au ni lazima aamini lolote linaloaminiwa na wakristu, wala anaeshiriki katika mambo yanayoshirikisha ukristu.

Waraka uko kamili na hauna ahadi za kampeni kwa wagombea wowote kama wataamua kuufuata, hauna hata nia ya kulazimisha ufuatwe. Unabaki kuwa ni mapendekezo na matamanio ya waliyouandaa kuhusiana na aina ya uongozi wanaodhani unafaa kwa Taifa letu.


Sioni mahali popote katika kauli wala mapendekezo ya waraka uliotolewa na Katholiki unaotaka au kukusudia kuingilia serikali katika kupata viongozi wake. Nadhani iko wazi kuwa waraka huo unatamani serikali itakayosaidia kuwafanya wananchi waweze kufuata maadili mema na si vinginevyo.

Kwa mtazamo wangu hakuna taasisi zozote ambazo hazina siasa ndani yake. Hata Taasisi za dini zina siasa zake, nazo ndizo zinazofuatwa na viongozi na waumini wao. Siasa ni utaratibu ambao unahusisha watu kila wanapobidi kushirikiana kwa umoja wao.

Serikali haiwezi kushinikiza kuwa dini zisiwe na kauli yoyote kama inaona mambo yanakwenda mrama katika uongozi wa serikali hizo. Ni vigumu kwa kuwa, waumini wao ndio hao hao wanaoshiriki katika serikali na ndio wanaokuwa affected na siasa za vyama na serikali inayokuwa madarakani. Inawezekana dini ikaachana na siasa za vyama na serikali endapo tu, wanachama wa vyama na wanaohusika na serikali watakuwa ni tofauti na wale wanaoamini katika dini hizo.

Mkuu umesema vizuri sana kwamba wewe HUONI popote penye matatizo.. Mimi naona sehemu nyingi sana kwani siku zote ktk Uongozi wa nchi, taasisi za kidini zinapoingilia kati ndipo utata huanza.

Unajua nchi za kiarabu kuna mengi ya wahubiri wa dini huzitaka serikali zao kufanya mema kwa faida ya wananchi wote lakini utata huja pale sisi tunapotazama nafasi ya dini na uongozi wa nchi hizo pamoja na kwamba population ya nchi hiyo ni 99 waislaam. Kifupi kanisa wala Msikiti hautakiwi kabisa kuingiza hoja zake serikalini unless swala hilo linahusiana na waumini wake.

Ni makanaisa na misikiti ilotuchanganya akili wakati wa uchaguzi wa Mkapa na huyu JK..ni hao hao waliowatukuza na kuwaona viongozi bora, leo hii tunapewa somo jingine tena wakati wa uchaguzi ukikaribia.
Trust me mkuu wangu hakuna mtu hata mmoja asiyefahamu nani kiongozi mzuri hata iwe jangwani au kijijini ndani kabisa Umasai...wote hawa walikuwa na mila za kuchagua viongozi wao na walitoa sifa au kashfa kutokana na kiongozi aliyepo.
Tatizo ni kwamba, kiongozi mzuri hana alama usoni nahata siku moja huwezi kukisia ila kwa ahadi zake..Kinachomtangulia kiongozi ni mfumo bora wa utawala.. Maadili na miiko ya Uongozi ndio road signs za kiongozi yeyote yule..kisha wananchi nao wapate somo la haki za uraia wao na sii somo la kumchagua kiongozi mzuri ambaye hajawahi kuongoza. zaidi ya hapo Mbunge sii kiongozi hata siku moja ila ni mwakilishi wa wananchi..

Hivi kweli unaweza kunipa sifa za kumchagua mtu kati Mwakyembe na Mwakalinga kwa kutumia vigezo hivyo?.. Mwakyembe tunamjua na mapungufu yake, mtu kama Mwakalinga hatumjui hivyo.. somo linatuambia nini kuhusu watu kama hawa?.. Je, linazungumza nini kuhusu wagombea wa vyama vya upinzani..Tunatazama mtu au chama? maanake nashindwa kuelewa inaonyesha kama waraka huu unataka tuishague CCM lakini tuwachuje viongozi wake badala ya kutazama upana na sera za vyama..
Siku zote uchaguzi wa viongozi hutokana na sera za chama sasa tukianza kuweka macho yetu kwa watu na tabia zao sijui nani mbora kuliko mwingine...
Hivyo pamoja na makosa ya mzee Kingunge ktk mtazamo wa wengi bado mzee huyu ana haki sawa ya kuelezea yale anayoyaona yeye kuwa ndio safi na tumkosoe kwa alosema tukizingatia kwamba tupo radhi kupokea maagizo kama haya ya waraka toka dini tofauti..
Binafsi sipo radhi kabisa na itajenga uhasama zaidi inapofikia viongozi wa dini kuitumia serikali kujenga kitu chochote kile..
 
Kingunge anasema eti Mwalimu Nyerere akifufuka sasa hivi atalishangaa kanisa katoliki. Anasahau kwamba Nyerere atamshangaa yeye zaidi kusikia kwamba anamiliki parking za magari zote za Dar Es Salaam na pale Ubungo analipa pesa kiduchu sana, kwamba yeye sasa ni kabaila! Huyu ndiye muaasisi wa Azimio la Arusha kama alivyojigamba juzi kwenye press conference. Kama Biblia isememavyo Saulo aligeuka kuwa Paulo!
 
Report ya Ubungo kutoka kwa CAG imeisha toka.Anayo "Mtoto wa Mkulima" Pinda.
CHADEMA wanataka itolewe hadharani haraka, la sivyo wana mpango wa kumshinikiza Pinda kwa maandamano.
Mzee Kinguge anasema yeye mtu "safi".
Timing?
 
Mkuu umesema vizuri sana kwamba wewe HUONI popote penye matatizo.. Mimi naona sehemu nyingi sana kwani siku zote ktk Uongozi wa nchi, taasisi za kidini zinapoingilia kati ndipo utata huanza.

Unajua nchi za kiarabu kuna mengi ya wahubiri wa dini huzitaka serikali zao kufanya mema kwa faida ya wananchi wote lakini utata huja pale sisi tunapotazama nafasi ya dini na uongozi wa nchi hizo pamoja na kwamba population ya nchi hiyo ni 99 waislaam. Kifupi kanisa wala Msikiti hautakiwi kabisa kuingiza hoja zake serikalini unless swala hilo linahusiana na waumini wake.

Ni makanaisa na misikiti ilotuchanganya akili wakati wa uchaguzi wa Mkapa na huyu JK..ni hao hao waliowatukuza na kuwaona viongozi bora, leo hii tunapewa somo jingine tena wakati wa uchaguzi ukikaribia.
Trust me mkuu wangu hakuna mtu hata mmoja asiyefahamu nani kiongozi mzuri hata iwe jangwani au kijijini ndani kabisa Umasai...wote hawa walikuwa na mila za kuchagua viongozi wao na walitoa sifa au kashfa kutokana na kiongozi aliyepo.
Tatizo ni kwamba, kiongozi mzuri hana alama usoni nahata siku moja huwezi kukisia ila kwa ahadi zake..Kinachomtangulia kiongozi ni mfumo bora wa utawala.. Maadili na miiko ya Uongozi ndio road signs za kiongozi yeyote yule..kisha wananchi nao wapate somo la haki za uraia wao na sii somo la kumchagua kiongozi mzuri ambaye hajawahi kuongoza. zaidi ya hapo Mbunge sii kiongozi hata siku moja ila ni mwakilishi wa wananchi..

Hivi kweli unaweza kunipa sifa za kumchagua mtu kati Mwakyembe na Mwakalinga kwa kutumia vigezo hivyo?.. Mwakyembe tunamjua na mapungufu yake, mtu kama Mwakalinga hatumjui hivyo.. somo linatuambia nini kuhusu watu kama hawa?.. Je, linazungumza nini kuhusu wagombea wa vyama vya upinzani..Tunatazama mtu au chama? maanake nashindwa kuelewa inaonyesha kama waraka huu unataka tuishague CCM lakini tuwachuje viongozi wake badala ya kutazama upana na sera za vyama..
Siku zote uchaguzi wa viongozi hutokana na sera za chama sasa tukianza kuweka macho yetu kwa watu na tabia zao sijui nani mbora kuliko mwingine...
Hivyo pamoja na makosa ya mzee Kingunge ktk mtazamo wa wengi bado mzee huyu ana haki sawa ya kuelezea yale anayoyaona yeye kuwa ndio safi na tumkosoe kwa alosema tukizingatia kwamba tupo radhi kupokea maagizo kama haya ya waraka toka dini tofauti..
Binafsi sipo radhi kabisa na itajenga uhasama zaidi inapofikia viongozi wa dini kuitumia serikali kujenga kitu chochote kile..


Mkuu sana Mkandara habari mkubwa
Niko hapa kuto kubaliana na yako il mjadala uendelee si kwamba hujaandika la maana la hasha ila nina maoni tofauti na yako .
Umesema Mwakyembe na Mwakalinga wote tuna wajua .Mwakalinga ni mwandishi hapa bodini na kila mara amekuwa akiegemea upande na hatimaye kaonyesha alicho kuwa anajaribu kukitengeneza hapa bodini .Kwa tabia Mwakyembe ni Mwakalinga ni ma opportunity ful stop.

Napingana na Mzee ES lakini kuna mahali huwa namuunga mkono asilimia 100.Yeye katangaza ni mwana CCM tunamjua lakini kwenye maslahi ya Nchi huwa anakuwa mtu mwingine nayasimamia bila kujali kadi yake na maji aliyo kunywa ya bendera yao yenye alama za hatari yaani nyundo inakupiga kichwani unakufa na jembe wanachimba kaburi kukuzika na CCM wanafanya haya hata sasa .

Mkuu Kanisa linatoa Elimu ya Uraia .Ni taasisi ile ya kuwahudumia watu na haina mgombea.Ukiona mkumetokea shida kwamba ndugu zangu Waislam wamesema kitu kimelata shari na kitu ni kwa manufaa ya watu wote basi hapo unajiuliza sana lakini hadi dada tumeona kila kikundi cha dini na hasa waislam wakisimama kutetea watu wana hama wana anza kuuteteza Uislam tofauti na hili .Hapa hawasemi Mkandara alichaguliwe hapana .Wanasema Mkandara kama ni msafi apewe ila fisadi hapana .

Kwa mwendo huu pia wanatimiza wajibu wa kuitetea Tanzania , Katiba na hata maandiko ambayo yanamwapa nguvu kusimama mbele ya madhabahu .Mkandara siku za nyuma mimi na wewe tumepiga kelele san juu ya Elimu ya Uraia.Serikali kimya CCM kimya na Vyama vya siasa kimya , NGO zimepewa maonyo na kutishwa na sasa hawa nao wamesema hapana tanzania ni ya wote .

Ni maaskofu walio unguruma sana kule Zambia , Malawi na kwingineko lakini kwa nia amani na maendeleo ya mwanandamu .Hata kule Zimbabwe lakini hakukuwahi kutokea mgawanyiko unao uimba wewe na Kingunge .

Je wakiondoa Kitabu wakatoliki CCM sasa na wewe na wenzio mko tayari kusamabaza habari hii kwa wananchi waelewe ubaya wa kuchagua fisadi miaka mingine 5 ?
 
kazi ya dini nikukemea maovu RC wameanzia na dini nyingine ziige kupiga vita ufisadi, siwalewa watu wanaopiga waraka wa RC kosa nini kutufumbua macho 2010 tusichague mafida.
 


I still dont know why media inaendelea kumpa nafasi wakati wakijua wazi kwamba inaweza kuwa counter-productive kwa kingunge na CCM
Siasa za bongo hizi. Watu wa media nao, si ndio anawapa ulaji? si tunapomshangaa mzee anavyofulia, wao mana'make' (wanaendelea kuuza habari).
 
Kwa wale waliomsikiliza na kumuona Kingunge akiongea na waandishi wa habari jana bila shaka watakuwa na maoni tofauti kuhusu kikongwe huyu. Binafsi namuona kama mtu aliyeanza kuchanganyikiwa. Alikuwa anazungumzia Waraka wa Kanisa Katoliki lakini mpangilio wake wa maneno ni wa kushangaza na hauna mantiki. Mpaka sasa hajasema ni nini hasa anachoona yeye ni kibaya katika waraka huo unaohamasisha wananchi kuchagua viongozi waadilifu, zaidi ya kusisitiza kwamba utaigawa nchi.
.

Mimi nafikiri ungeweka bayana nini kingunge amesema badala ya kumuhukumu na kumwita kachanganyikiwa.

Hakika hata mimi nilipousoma niliona kuna athari kubwa sana katika jamii ya watanzania. Athari hizo ni :
1. Kwa kuwa umetolewa na madhehebu ya kidini, ulikuwa na lengo la kuelimisha waumini wake nini wafanye katika kuchagua viongozi wa kisiasa. Sasa nilijiuliza vipi wao viongozi wa kikatoliki, je walichaguliwa na nani kuwa viongozi, je waumini walishiriki katika kutoa mapendekezo au hata kuwachagua? au Pope aliwachagua ?

2. sasa nilijiuliza kama wao wliingia katika madaraka ya kuwa mapadr au hata maaskofu kwa kuchaguliwa na Pope , sasa vp waingile mambo ya kisiasa?

3. je kama Padre au Askofu anafundisha kuhusu Yesu vipi mtu huyu atasema achaguliwe mtu wa dhahebu lingine?

4. waraka ulikuwa na mengi yaliyojificha na yenye viashiria za ubaguzi ingawa yalipambwa na maneno mazuri sana.

Kijumla waraka ule ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa hususan kipindi hichi cha kupamba kwa UDINI huko Tanzania.

Namuunga mkono mzee Kingunge. maneno yake kuntu
 
.

Mimi nafikiri ungeweka bayana nini kingunge amesema badala ya kumuhukumu na kumwita kachanganyikiwa.

Hakika hata mimi nilipousoma niliona kuna athari kubwa sana katika jamii ya watanzania. Athari hizo ni :
1. Kwa kuwa umetolewa na madhehebu ya kidini, ulikuwa na lengo la kuelimisha waumini wake nini wafanye katika kuchagua viongozi wa kisiasa. Sasa nilijiuliza vipi wao viongozi wa kikatoliki, je walichaguliwa na nani kuwa viongozi, je waumini walishiriki katika kutoa mapendekezo au hata kuwachagua? au Pope aliwachagua ?

2. sasa nilijiuliza kama wao wliingia katika madaraka ya kuwa mapadr au hata maaskofu kwa kuchaguliwa na Pope , sasa vp waingile mambo ya kisiasa?

3. je kama Padre au Askofu anafundisha kuhusu Yesu vipi mtu huyu atasema achaguliwe mtu wa dhahebu lingine?

4. waraka ulikuwa na mengi yaliyojificha na yenye viashiria za ubaguzi ingawa yalipambwa na maneno mazuri sana.

Kijumla waraka ule ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa hususan kipindi hichi cha kupamba kwa UDINI huko Tanzania.

Namuunga mkono mzee Kingunge. maneno yake kuntu
Huu ndio uwezo wako wa kuchambua mambo? Niko tayari kuchangisha pesa kukupatia za kuiachia familia yako ili ujitoe mhanga pale mjengoni uli uondoke na watu hatari na wasio na msaada kwa taifa kama wewe. The amount of vernom you are spitting is twice that of a cobra.
 
.

Mimi nafikiri ungeweka bayana nini kingunge amesema badala ya kumuhukumu na kumwita kachanganyikiwa.

Hakika hata mimi nilipousoma niliona kuna athari kubwa sana katika jamii ya watanzania. Athari hizo ni :
1. Kwa kuwa umetolewa na madhehebu ya kidini, ulikuwa na lengo la kuelimisha waumini wake nini wafanye katika kuchagua viongozi wa kisiasa. Sasa nilijiuliza vipi wao viongozi wa kikatoliki, je walichaguliwa na nani


Mapadre wa Kanisa katoliki hawachaguliwi na Askofu wala Papa na wao hupatikana kwa kuitikia wito .Jambo la kwanza wana angusha ile mbaya then wana faulu mitihani na mwisho tabia zao hatimaye wana pewa daraja la Upadre.Hakuna kura na hakuna padre kihiyo kwa taarifa yako .


kuwa viongozi, je waumini walishiriki katika kutoa mapendekezo au hata kuwachagua? au Pope aliwachagua ?

2. sasa nilijiuliza kama wao wliingia katika madaraka ya kuwa mapadr au hata maaskofu kwa kuchaguliwa na Pope , sasa vp waingile mambo ya kisiasa?

Sikia mpayukaji .Papa na Maaskofu wote ni ma padre .Uaskfu na U papa ni cheo ama title ambayo hawawezi kupewa wote .Wana kazi maalumu , kusimimamia Kanisa kwa maeneo yao hao maaskfu , ikiwa ni pamoja na kuhimiza , Elimu , maendeleo, nk .Ni askofu pekee huteuliwa na Papa na uteuzi huja baada ya mchujo mkali si lele mama .Papa unajua sasa kwamba ma kardinari sasa ambao bado ni ma padre kwa asili hukutana Rome na kufanya mambo kama ulivyo ona wakati ule .


3. je kama Padre au Askofu anafundisha kuhusu Yesu vipi mtu huyu atasema achaguliwe mtu wa dhahebu lingine?

Nonsense hueleweki maana sijaona mahali ambapo uchaguzi wa aina hii umesema nadhani una matatizo wewe

4. waraka ulikuwa na mengi yaliyojificha na yenye viashiria za ubaguzi ingawa yalipambwa na maneno mazuri sana.


Tutajie hayo yalioyo jificha na useme yamejificha wapi il tukayashuhudie kama yako tutaupinga hadharani bila ya ificho .Tanzania ni ya wote . Na useme hatari unayo iona wewe .Hakuna hatari kuliko ile ya smz kuwanyima watu haki ya kupiga kura kaka .


Kijumla waraka ule ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa hususan kipindi hichi cha kupamba kwa UDINI huko Tanzania.

Namuunga mkono mzee Kingunge. maneno yake kuntu


Kingunge si mzima na ana wasi wasi wa bure wacha watu wapewe elimu ya uraia.By the way ule waraka wa waislam uko wapi ?

Wakatoliki , they lead wengine mtaiga tu .
 
.

Mimi nafikiri ungeweka bayana nini kingunge amesema badala ya kumuhukumu na kumwita kachanganyikiwa.

Hakika hata mimi nilipousoma niliona kuna athari kubwa sana katika jamii ya watanzania. Athari hizo ni :
1. Kwa kuwa umetolewa na madhehebu ya kidini, ulikuwa na lengo la kuelimisha waumini wake nini wafanye katika kuchagua viongozi wa kisiasa. Sasa nilijiuliza vipi wao viongozi wa kikatoliki, je walichaguliwa na nani kuwa viongozi, je waumini walishiriki katika kutoa mapendekezo au hata kuwachagua? au Pope aliwachagua ?

2. sasa nilijiuliza kama wao wliingia katika madaraka ya kuwa mapadr au hata maaskofu kwa kuchaguliwa na Pope , sasa vp waingile mambo ya kisiasa?

3. je kama Padre au Askofu anafundisha kuhusu Yesu vipi mtu huyu atasema achaguliwe mtu wa dhahebu lingine?

4. waraka ulikuwa na mengi yaliyojificha na yenye viashiria za ubaguzi ingawa yalipambwa na maneno mazuri sana.

Kijumla waraka ule ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa hususan kipindi hichi cha kupamba kwa UDINI huko Tanzania.

Namuunga mkono mzee Kingunge. maneno yake kuntu

Mkuu hapa sijakuelewa

ila kama walivyosema wengine, kazi za kanisa (hususan katholiki) ni kumsaidia muumini wake katika mambo ya kiroho na kimwili. ndiyo maana zaidi ya kuhubili kanisani, kuna huduma nyingi za jamii zinatolewa kuanzia hospitali, shule/vyuo/vikuu, kulea wasiojiweza watoto na wazee, maji, mifugo nk na sehamu kubwa kwa kupitia shirika linaloitwa CARITAS (baadhi ya mikoa wanaweza shuhudia hili - mf SONGEA).

Nadhani mpaka hapa tupo wote kuwa kanisa likifanya huduma za jamii haliingilii siasa.

lakini waumini lazima tujiulize, kati ya hizi huduma za jamii zinadumazwa na viongozi wabovu wa serikali (ambayo ndiyo wahusika katika kutoa huduma). sasa kwanini tusielimishwe ili tuwabaini hao na kuwatupa nje????????? mbona lipo wazi hili??

au kuna agenda nyingine kupinga chochote kutoka kanisa katholiki (kuna wengine huku mtaani wanasema kanisa lipingwe kwa kuwa lilikataa mahakama ya kadhi) hata kama waraka ni muhimu kwa jamii??????????? kazi ipo kwa watanzania
 
Kikunge ni fisadi naye maana siku zote alikuwa anapinga sana kuhusu List ya shame ya CHADEMa na kuona ni uongo na pia asema kuwa mradi wa ubungo ni wa nani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom