zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wazungu hawawindi kwa machine-gun. Wazungu hao hatujasikia wakisafirisha wanyama kwao ( ukiondoa vyura wa Mtera). Siku moja moja fungua pazia la udini utaona mengi.
Amandla.....
Nenda idara za ,aliasili ukaone tkwimu za wanyama, utajuwa wengi wanaenda wapi? na nani aliokudanganya Loliondo wanawinga na machine gun? Kama hujui, wanakuja kuwinda na Falcons na mbwa wa kuwindia, machine guns ni za kuwalinda wao! usiyejuwa maana wee!