Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,488
- 19,288
HIli suala la Mkataba wa Loliondo halijaongelewa tu na wananchi au na wamasai tu, kuna tuhuma nyingi, zingine hatujui kama ni za kweli au za uongo. mara tuambiwe ukiwa pale Loliondo network ya simu ni ya uarabuni sio ya kibongo, mara tuambiwe kuna uwanja wa ndege kule madege huwa yanatua na kubeba wanyama wale tunaoambiwa wametengenezewa mbuga jangwani uarabuni, mara tuambiwe ardhi ile iliuzwa mazima sio part of Tanzania ni ardhi ya waarabu. Tunaomba mnaojua mtueleweshe yafuatayo:
1. Loliondo iliuzwaje, iliuzwa iwe milki ya waarabu au waliwekeza tu kitalu cha uwindaji?
2. Kuna kiwanja cha ndege? Pale kinafanya nini hasa tukizingatia tuliona lidege la kivita limedondoka pale na mfalme wa UAE wakisalimiana na Kinana?
3. Mkataba wa Loliondo ni wa milele au wa muda fulani?
4. Maaskofu walisoma kitabu cha Mwinyi, wanasema alikiri kwenye kitabu hicho kwamba alifanya makosa na anajutia mkataba wa Loliondo, manake ni mbovu, hatuwezi kuuvunja?
5. Tukivunja mkataba huo tutapata hasara gani?
6. Tukiuacha mkataba huo, watanzania tunapata shilngi ngapi? hivi tunafaidikaje nao?
7. Wanalipa kodi? au ndio ardhi yao wanaishi na wanyama kama vile wapo uarabuni tu?
8. Mkataba kama utakuwa wa aina hiyo, si unavunja katiba? kama unavunja katiba hatuwezi kuuvunja huo mkataba?
9. Tumejipangaje kwa viongozi wanaoingia mikataba mibovu ili wakiharibu waje waandike kitabu kujutia na hakuna hatua yeyote inachukuliwa dhidi yao.
10. TUAMUE KWA KUFUMBA MACHO, TUVUNJE HUU MKATABA NA LOLIONDO IBAKI MIKONONI MWA TANAPA, labda kama siuelewi vizuri. na kama kuna mtu anao huo mkataba weka hapa ili tuujadili. wanyama wale uarabuni wamefikaje? na tulishaona wanapandishwa ndege hapahapa bongo, matwiga yanapandishwa ndege wakati tunaona.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
1. Loliondo iliuzwaje, iliuzwa iwe milki ya waarabu au waliwekeza tu kitalu cha uwindaji?
2. Kuna kiwanja cha ndege? Pale kinafanya nini hasa tukizingatia tuliona lidege la kivita limedondoka pale na mfalme wa UAE wakisalimiana na Kinana?
3. Mkataba wa Loliondo ni wa milele au wa muda fulani?
4. Maaskofu walisoma kitabu cha Mwinyi, wanasema alikiri kwenye kitabu hicho kwamba alifanya makosa na anajutia mkataba wa Loliondo, manake ni mbovu, hatuwezi kuuvunja?
5. Tukivunja mkataba huo tutapata hasara gani?
6. Tukiuacha mkataba huo, watanzania tunapata shilngi ngapi? hivi tunafaidikaje nao?
7. Wanalipa kodi? au ndio ardhi yao wanaishi na wanyama kama vile wapo uarabuni tu?
8. Mkataba kama utakuwa wa aina hiyo, si unavunja katiba? kama unavunja katiba hatuwezi kuuvunja huo mkataba?
9. Tumejipangaje kwa viongozi wanaoingia mikataba mibovu ili wakiharibu waje waandike kitabu kujutia na hakuna hatua yeyote inachukuliwa dhidi yao.
10. TUAMUE KWA KUFUMBA MACHO, TUVUNJE HUU MKATABA NA LOLIONDO IBAKI MIKONONI MWA TANAPA, labda kama siuelewi vizuri. na kama kuna mtu anao huo mkataba weka hapa ili tuujadili. wanyama wale uarabuni wamefikaje? na tulishaona wanapandishwa ndege hapahapa bongo, matwiga yanapandishwa ndege wakati tunaona.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.