Watanzania tusiishie bandari tu, huu ni muda wa kuidai na Loliondo pia

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,111
Watanzania wenzangu, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha, na watanzania wenzetu huko Loliondo wamenyanyaswa kiasi cha kutosha.

Vijipesa vya mwarabu vimewatia upofu watawala wa CCM mpaka imefikia hatua wako radhi kufukuza wananchi katika maeneo yao ili kuipa familia za kiarabu milki ya ardhi yetu.

Je ni nani kati yenu anayejua tunapata shilingi ngapi kwa familia ile ya kiarabu kumiliki Loliondo?

Je ni kwa nini muda wa kukaa Loliondo mwarabu amekuwa akiongezewa tu licha ya kelele za wananchi?

Kwa nini mwarabu wa Loliondo analindwa na Majeshi yetu kwa ufi na uvumba, je ana siri gani na nchi yetu?

Ni nani anafanya oversight juu ya wanyama anaowinda na pengine anaowatorosha kimagendo?

Je bajeti ya kuhamisha wamasai kutoka Ngorongoro na kujenga baadhi ya nyumba kule Handeni ilitoka wapi, ilipitishwa na bunge gani?- Kuna kila dalili huyu mfalme aliyemilikishwa Loliondo akawa anafinance operation zote za kuwaondoa wamasai Loliondo na maeneo ya jirani ya ngorongoro.

Ndugu zangu, Hili la bandari litutie hasira, litutie hamasa kudai nchi yetu.

Katiba ya nchi inatuamuru, kusimama na Kulinda uhuru wa Taifa letu, na imemzuia mtu yeyote kuwazuia watanzania pale watakaporaise up kupigania Uhuru wao dhidi ya adui yeyote yule mwenye kutaka kuuondoa uhuru huo.

Nchi inauzwa kila siku mdogomdogo huku tukishuhudia. Mwishowe tutajikita wapagazi, watwana katika nchi yetu wenyewe!

1. Majuzi Tumeingia mkataba wa Kizushi wa kuuza madini (Rare earth metals)

2. Kwenye dhahabu tumeshaachiwa mashimo

3. Kwenye gesi nako Rais alitepita alisema imeshakula kwetu

4. Sasa wanaanza kutaka kuuza hata bandari ambayo ni MOYO wa Taifa.

Tusimameni tuwakatalie madalali wa kuuza Uhuru wetu. Uwezo wa kuwakatalia tunao, Sababu za kuwakatalia tunazo, Na Tuwakatalie sasa ili kulinda uhuru wetu na Urithi wa vizazi vyetu!
 
Watanzania wenzangu, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha, na watanzania wenzetu huko Loliondo wamenyanyaswa kiasi cha kutosha.

Vijipesa vya mwarabu vimewatia upofu watawala wa CCM mpaka imefikia hatua wako radhi kufukuza wananchi katika maeneo yao ili kuipa familia za kiarabu milki ya ardhi yetu.

Je ni nani kati yenu anayejua tunapata shilingi ngapi kwa familia ile ya kiarabu kumiliki Loliondo?

Je ni kwa nini muda wa kukaa Loliondo mwarabu amekuwa akiongezewa tu licha ya kelele za wananchi?

Kwa nini mwarabu wa Loliondo analindwa na Majeshi yetu kwa ufi na uvumba, je ana siri gani na nchi yetu?

Ni nani anafanya oversight juu ya wanyama anaowinda na pengine anaowatorosha kimagendo?

Je bajeti ya kuhamisha wamasai kutoka Ngorongoro na kujenga baadhi ya nyumba kule Handeni ilitoka wapi, ilipitishwa na bunge gani?- Kuna kila dalili huyu mfalme aliyemilikishwa Loliondo akawa anafinance operation zote za kuwaondoa wamasai Loliondo na maeneo ya jirani ya ngorongoro.

Ndugu zangu, Hili la bandari litutie hasira, litutie hamasa kudai nchi yetu.

Katiba ya nchi inatuamuru, kusimama na Kulinda uhuru wa Taifa letu, na imemzuia mtu yeyote kuwazuia watanzania pale watakaporaise up kupigania Uhuru wao dhidi ya adui yeyote yule mwenye kutaka kuuondoa uhuru huo.

Nchi inauzwa kila siku mdogomdogo huku tukishuhudia. Mwishowe tutajikita wapagazi, watwana katika nchi yetu wenyewe!

1. Majuzi Tumeingia mkataba wa Kizushi wa kuuza madini (Rare earth metals)

2. Kwenye dhahabu tumeshaachiwa mashimo

3. Kwenye gesi nako Rais alitepita alisema imeshakula kwetu

4. Sasa wanaanza kutaka kuuza hata bandari ambayo ni MOYO wa Taifa.

Tusimameni tuwakatalie madalali wa kuuza Uhuru wetu. Uwezo wa kuwakatalia tunao, Sababu za kuwakatalia tunazo, Na Tuwakatalie sasa ili kulinda uhuru wetu na Urithi wa vizazi vyetu!
Kwani mkuu nani kakuambia kwamba sual la badari utalishinda hilo liko pale pale hizi kelele za walala hoi zisikupe matumaini, kesho itasahurika tu.
 
Ndugu zangu wana CCM walifikiri Kariakoo ilikuwa geresha.

Nuff said.

Katika vitu vinavyonitibua roho ni... Serikali yangu Kuangamiza Jamii ya Wamasai. Watashindwa nini baada ya hapo? Watashindwa nini kwenda kuangamiza kabila la Wasukuma au Wapemba au Wakurya ka wanavyoandamwa na mamaluki na vibaraka wa makaburu? Yote haya kwa aijli ya Maliasili na Rasilimali zilikuwa katika maeneo hayo.

Mnafikiri baada ya hilo Bandari ndio iwashinde?


Ila Hili la Wamsaai linaniuma sana ingali mie sie Mmasai. Na hili la Bandari ndio Usiseme......Napata kichefuchefu

Piga kura kwa Uangalifu 2025
Kwa Umoja, Tunaweza
 
Watanzania wenzangu, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha, na watanzania wenzetu huko Loliondo wamenyanyaswa kiasi cha kutosha.

Vijipesa vya mwarabu vimewatia upofu watawala wa CCM mpaka imefikia hatua wako radhi kufukuza wananchi katika maeneo yao ili kuipa familia za kiarabu milki ya ardhi yetu.

Je ni nani kati yenu anayejua tunapata shilingi ngapi kwa familia ile ya kiarabu kumiliki Loliondo?

Je ni kwa nini muda wa kukaa Loliondo mwarabu amekuwa akiongezewa tu licha ya kelele za wananchi?

Kwa nini mwarabu wa Loliondo analindwa na Majeshi yetu kwa ufi na uvumba, je ana siri gani na nchi yetu?

Ni nani anafanya oversight juu ya wanyama anaowinda na pengine anaowatorosha kimagendo?

Je bajeti ya kuhamisha wamasai kutoka Ngorongoro na kujenga baadhi ya nyumba kule Handeni ilitoka wapi, ilipitishwa na bunge gani?- Kuna kila dalili huyu mfalme aliyemilikishwa Loliondo akawa anafinance operation zote za kuwaondoa wamasai Loliondo na maeneo ya jirani ya ngorongoro.

Ndugu zangu, Hili la bandari litutie hasira, litutie hamasa kudai nchi yetu.

Katiba ya nchi inatuamuru, kusimama na Kulinda uhuru wa Taifa letu, na imemzuia mtu yeyote kuwazuia watanzania pale watakaporaise up kupigania Uhuru wao dhidi ya adui yeyote yule mwenye kutaka kuuondoa uhuru huo.

Nchi inauzwa kila siku mdogomdogo huku tukishuhudia. Mwishowe tutajikita wapagazi, watwana katika nchi yetu wenyewe!

1. Majuzi Tumeingia mkataba wa Kizushi wa kuuza madini (Rare earth metals)

2. Kwenye dhahabu tumeshaachiwa mashimo

3. Kwenye gesi nako Rais alitepita alisema imeshakula kwetu

4. Sasa wanaanza kutaka kuuza hata bandari ambayo ni MOYO wa Taifa.

Tusimameni tuwakatalie madalali wa kuuza Uhuru wetu. Uwezo wa kuwakatalia tunao, Sababu za kuwakatalia tunazo, Na Tuwakatalie sasa ili kulinda uhuru wetu na Urithi wa vizazi vyetu!
CCM bado awajatoa msimamo wao kwenye huu mkataba; maana yake wanasema bandari ziuzwe
 
Tumezidi kujifanya wakarimu na wanyenyekevu pumbavu zetu.
 
Viongozi wa siasa wanajiona wana akili kubwa kuwashinda wananchi wake. Wamesahau sisi ndo tumewapa nafasi hiyo, ila ndo wanatuona mazuzu sisi kuwafanya wawe pale walipo.

Tutaonana 2025.
 
Majizi makubwa mliodumaza bandari ya dar kelele zenu wala hazitasaidia kitu mwarabu liwake mvua jua linyeshe lazima aje achape kazi hapo bandari, mama analeta neema majizi nyie hamtaki
 
Bandari ya dar imekuwa ikijongea mwendo wa konokono sababu kuna majizi yanafaidika hapo, wadubai ni watu kazi wale lazima waje wachangamshe hiyo bandari.
 
Ndugu zangu wana CCM walifikiri Kariakoo ilikuwa geresha.

Nuff said.

Katika vitu vinavyonitibua roho ni... Serikali yangu Kuangamiza Jamii ya Wamasai. Watashindwa nini baada ya hapo? Watashindwa nini kwenda kuangamiza kabila la Wasukuma au Wapemba au Wakurya ka wanavyoandamwa na mamaluki na vibaraka wa makaburu? Yote haya kwa aijli ya Maliasili na Rasilimali zilikuwa katika maeneo hayo.

Mnafikiri baada ya hilo Bandari ndio iwashinde?


Ila Hili la Wamsaai linaniuma sana ingali mie sie Mmasai. Na hili la Bandari ndio Usiseme......Napata kichefuchefu

Piga kura kwa Uangalifu 2025
Kwa Umoja, Tunaweza
Matatizo mengi ya nchi hii yaliasisiwa na Jiwe
 
Bandari ya dar imekuwa ikijongea mwendo wa konokono sababu kuna majizi yanafaidika hapo, wadubai ni watu kazi wale lazima waje wachangamshe hiyo bandari.
 
Watanzania wenzangu, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha, na watanzania wenzetu huko Loliondo wamenyanyaswa kiasi cha kutosha.

Vijipesa vya mwarabu vimewatia upofu watawala wa CCM mpaka imefikia hatua wako radhi kufukuza wananchi katika maeneo yao ili kuipa familia za kiarabu milki ya ardhi yetu.

Je ni nani kati yenu anayejua tunapata shilingi ngapi kwa familia ile ya kiarabu kumiliki Loliondo?

Je ni kwa nini muda wa kukaa Loliondo mwarabu amekuwa akiongezewa tu licha ya kelele za wananchi?

Kwa nini mwarabu wa Loliondo analindwa na Majeshi yetu kwa ufi na uvumba, je ana siri gani na nchi yetu?

Ni nani anafanya oversight juu ya wanyama anaowinda na pengine anaowatorosha kimagendo?

Je bajeti ya kuhamisha wamasai kutoka Ngorongoro na kujenga baadhi ya nyumba kule Handeni ilitoka wapi, ilipitishwa na bunge gani?- Kuna kila dalili huyu mfalme aliyemilikishwa Loliondo akawa anafinance operation zote za kuwaondoa wamasai Loliondo na maeneo ya jirani ya ngorongoro.

Ndugu zangu, Hili la bandari litutie hasira, litutie hamasa kudai nchi yetu.

Katiba ya nchi inatuamuru, kusimama na Kulinda uhuru wa Taifa letu, na imemzuia mtu yeyote kuwazuia watanzania pale watakaporaise up kupigania Uhuru wao dhidi ya adui yeyote yule mwenye kutaka kuuondoa uhuru huo.

Nchi inauzwa kila siku mdogomdogo huku tukishuhudia. Mwishowe tutajikita wapagazi, watwana katika nchi yetu wenyewe!

1. Majuzi Tumeingia mkataba wa Kizushi wa kuuza madini (Rare earth metals)

2. Kwenye dhahabu tumeshaachiwa mashimo

3. Kwenye gesi nako Rais alitepita alisema imeshakula kwetu

4. Sasa wanaanza kutaka kuuza hata bandari ambayo ni MOYO wa Taifa.

Tusimameni tuwakatalie madalali wa kuuza Uhuru wetu. Uwezo wa kuwakatalia tunao, Sababu za kuwakatalia tunazo, Na Tuwakatalie sasa ili kulinda uhuru wetu na Urithi wa vizazi vyetu!
Hawa marais wote wenye asili ya uarabu huwa ni wa hovyo na wauzaji wakubwa wa mali za umma ukichia mbali mzee Mkapa kuponzwa na Anna tamaa wake
 
Back
Top Bottom