Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 523
Sina hata neno la kusema !
Nlichokiona na kukielewa mapema ni kwamba kupinga muswada wa katiba mbovu unaopitishwa kibabe na magamba na cuf.Wakuu tujuzeni,chanzo/tatizo nn kilichowapelekea kutoka?
mwehu wa kwanza ni mama ana makinda, huyu ni kinda kabisaa, mtu mzima lakini akili kama kinda
why should we go wrong way?ila tuache utani!
Maoni ya kambi rasmi ya upinzani ni ya msingi sana!!!
Isipokuwa tu kwa ushabiki wa kisiasa watu wameyaponda!!! we have a wrong way to go!!!!!!!!!!!!!!!!
una nakala ya waliyosema kambi ya upinzani, tupatie ndugu
Ni jambo la kusikitisha wabunge wa CDM kutoka nje au ulikusudia nini mkuu?Nimeona ...ni jambo la kusikitisha sana!..Spika amekosa mwelekeo na yuko impartial sana!
Jamani hii nchi inakwenda wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?