Hali si shwali bungeni, wabunge wa CDM wametoka nje ya bunge baada ya Lissu kumaliza kuwasilisha hoja ya kambi ya upinzani. Demu wa Malecela kasema waacheni waoondoke sisi tutajadili. CCM wamebaki na kuwadanganya wananchi!
Ila tuache utani!
Maoni ya kambi rasmi ya upinzani ni ya msingi sana!!!
isipokuwa tu kwa ushabiki wa kisiasa watu wameyaponda!!! we have a wrong way to go!!!!!!!!!!!!!!!!
Baada ya maoni ya kambi rasmi ya upinzani, wabunge wa upinzani waomba mwongozo wa kuahirisha mjadala na spika akataa hoja hiyo na kumruhusu mh kilango malecela kuendelea kuchangia hoja! spika hataki hata kuruhusu maombi ya mwongozo, my take nahisi alijiandaa kuhakikisha hapati upinzani leo, kama mambo ndiyo haya maamuzi yatakuwa kwa wananchi wenyewe!
Mara baada Tindu Lisu kumaliza hotuba yake na spika kukataa kutoa nafasi ya mbunge aliyeomba muongozo wa Spika, wabunge wa upinzani wametoka bungeni. Sasa hivi Mama Anna Kilango yuko hewani anachoongea hata simuelewii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.