Kimenuka Dodoma kambi ya upinzani wasusia, watoka nje bungeni

I agree with you Seniorita but she can make fun because I don't think she understands why she is there! For a person like that then words like critical and sensitive don't mean anything!
She cannot make fun of something so sensitive and critical for Tanzanians like Katiba...Simweli huyo spika
 
usitegemee Spika wa sasa akaepukana na mipasho hata kama jambo ni muhimu sana kwa taifa. Amezaliwa na mipasho,amakulia katika mupasho, analelewa na mipasho na ana akili ya kimipasho. Hana uwezo wa kufikiria mambo zaidi ya mipash.
 
Kutoka nje ya bunge ni kuwanyima wananchi waliowachagua haki yao bungeni.

Tujiulize hayo maamuzi na kutoka kwa wale waliwatuma na kuwingiza bungeni kuwawakilisha au kutoka kwa viongozi wa vyama vao vya siasa?
TOO LOW!!
CUF walivyokuwa wantoka walikuwa sahihi au walikuwa wanawanyima haki wananchi waliowachagua???

Mbuge aliyetoka na yule aliyebaki na kupewa nafasi ya kuchangia muswada, na badala yake akaanza kuongelea uwelewa wa Lissu; nani anakuwa amemuwakilisha mwananchi?

Tatizo la utumwa wa fikra ni tatizo baya sana, bunge linatumiwa na CCM kama ruber stamp na linakubali. as far as ni jambo linalohusu maslahi ya CCM, wabunge wote wa CCM na CCM B lazima wakubaliane, na hawakubaliani kwa hoja, wnakubaliana kwa NDIYOOOO!! what a pit??!!

Issue sio kusema asante kikwete kwa katiba mpya.............issue ni katiba mpya kwa manufaa ya nani?? kama mwananchi hapati haki yake ya msingi kushiriki na kuamua, hiyo haiwezi kuwa katiba ya mwananchi bali katiba ya Kikwete and his allies.

Watu kama nyie mmefikia ukomo wa kufikiri kwasababu mlichotaka kukifikia mmeshakifikia.......mmekuwa vipofu, hamuoni tena. sio wawakilishi wa wananchi, mnajiwakilisha wenyewe......self glory.
 
CCM wameweka masikio pamba hawaelewi kwamba wananchi hawakubaliani na muswada huu na si Chadema peke yao
 
Makinda aelewe kuwa Makamanda hawakwenda kufuata posho na chai mjengoni bali kuwasilisha na kutetea kero za wanachi wanaowalisha
 
Vipi wabunge wa NCCR wametoka? Huyu mama Makinda asipokuwa makini ataingiza nchi kwenye sintofahamu..!
 
Haya magamba jitokezeni semeni kwa nini mnalazimisha katiba iwanufaishe magamba???hivi mnaelewa madhara yake???mmejihakikishia mtatawala milele???hivi mmesoma mkaelewa au mlisoma mkapata vyeti vikubwa lakini hamkuelewa???au ndio kama alivyo mwakilishi wenu prof.kabudi anayechumia tumbo.Siku chama chenu hakipo madarakani mbona itakuwa shughuli wakumbukeni young pioneers askari watiifu na walioogopewa malawi kuliko askari yeyote kipindi cha rais Kamuzu banda siku banda hakuwa madakani jeshi la ulinzi la malawi liliwaua kama kuku likawafuatilia hata msumbiji walikokimbilia wakasambaratishwa.CCM fanyeni mzaha na maisha ya mtanzania kibao kitapogeuka nyumba zenu mtazikimbia utadhani hamkuzijenga kwa mikono yenu na watoto wenu je???watamudu kukimbia kama ninyi????acha tusubiri.
 
Ninyi polisi wa TANZANIA kwa mtini jifunzeni yaliyojiri misri ilifika nyakati polisi na wanajeshi walijiunga upande wa waandamaji wakaaza kugongeana sigara wananchi walipanda vifaru wakachati na maaskari,ninyi askari wa tz tumieni akili zenu vizuri ni kwa faida yenu na familia zenu pia.kwani mishahara yenu tunaijua vizuri hamna lolote mnaishi kwa dhiki sana tokeni huko waacheni wananchi waandamane andamani nao kulinda usalama mageuzi yakitokea kwa maana ya katiba mpya itaawafaa na ninyi pia.
 
nataman wakati chadema wametoka nje, angepita mdogo wake osama akawalipua wote
 
Lakini twende mbele kurudi nyuma. Naona uko haja is kubadili strategy ya CDM bungeni. Naanzisha mjadala.
 
CCM waliona wana ujasiri wa kujadili katiba ambayo wananchi hawajapewa uhuru wa kujadili, muswada unaotaka wananchi watakaoonekana kuwapinga wateule wa Rais wakamatwe na kufungwa au kutozwa faini ya sh. laki tano. CCM kama wanajua wao wanakubalika kwanini wasijadili rasimu ya muswada wa mabadiliko ya Katiba? Matokeo yake tangu jana wanajadili CHADEMA, wanatoa matusi, Vitisho, kejeli vijembe n.k. Hivi CHADEMA sasa ndo sehemu ya rasimu ya muswada unaojadiliwa Bungeni???? CCM KILA SIKU NASEMA NI SLOWEST LEARNERS. Ukiwa Mwalimu ukakabidhiwa darasa kufundisha watu kama wa CCM afadhali ujiuzulu kabisa. Hawaelewi. Jadilini rasimu ya mabadiliko ya katiba SIO KUJADILI CHADEMA. Mmhehama hoja. SPIKA NAYE SIJUI YUKO WAPI? AU HAWAJUI KUWA WAMEHAMA HOJA?
 
Wakati CDM na NCCR - Mageuzi wanatoka nje bungeni sisi wananchi tunafanya nini? - HAKUNA isipokuwa dharau na matusi wakati hili ni swala linalotuhusu sisi na kwa maslahi yetu zaidi ya wabunge wenyewe..Miafrika bana! kaazi kweli kweli.
 
Kheri watoke tuu kama kamati ilikuwa ikitoa maoni na mapendekezo Makinda anaenda shaurian na chama chake anayaslash.
Which means ata kama watachangia umo bungeni hawata utilia maanani mchango wa hao wapinzani
 
Japokuwa kwa macho yangu alionekana kusita kidogo huku akiomba mwongozo bila mafanikio,haimaye alisimama na kuamua kuchukua msssssimamo wa wenzake na kutoka zao nje.JE TUSEME HATUA YAKE HIYO NI ISHARA YA KUUNGANA NA WENZAKE KTK MAPAMBANO DHIDI YA UKANDAMIZAJI WA CCM KWA MATAKWA YA RAIA ILI KUKIDHI ULAFI WA MATUMBO YAO?Je anastahili pongezi kwa kuashilia mshikamano ndani ya chama chake na hivyo kuwanyamazisha CCM walokuwa wakikenua meno kufurahia migawanyiko ya kimtazamo ndani yaCDM?TOA MAONI KWA KUJENGA HOJA KUNTU.
 
Back
Top Bottom