nini kimejili mpaka cdm watoke.mtujuze tafadhari
Khalifa halfani khalifa kilazakuna mbunge wa cuf anaongea pumba acha tu!
Kwa nini wengne ndio tunatoka ofisini,
Ni jambo la kusikitisha wabunge wa CDM kutoka nje au ulikusudia nini mkuu?
acha waendelee na ubabe kinachofata tunaingia balabalani na hapo kikwete ndiyo atajua nini maana ya nguvu ya umma...
Mrema nae naona hajitambui, yaani wachangiaji wa leo! Ptuuuu..
Hakuna chadema aliebaki ndani ya ubungeJamani Hivi Shibuda naye katoka au kabaki. Tujulisheni hatuna live accs ya bungeni
sio wabunge wa chadema tu, hata wabunge nccr, cuf, nao wameungana kutoka nje achilia mbali huyo amijei wa zenj.
mrema pumbaaaa na upupupupu