mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
Huyu mama ni An.a Kilaza kweli
una nakala ya waliyosema kambi ya upinzani, tupatie nduguKwa kweli kambi ya upinzani imeshusha nondo za uhakika sio kidogo leo. Kama kweli kuna kusikilizana kambi ya upinzani ilikuwa na hoja za msingi sana!
acha waendelee na ubabe kinachofata tunaingia balabalani na hapo kikwete ndiyo atajua nini maana ya nguvu ya umma...Tatizo ubabe hauwaishi CCM maana mama kilaza SPIKA kaonyesha ubabe wazi wazi