Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Tuchangie nini wakati wanaweza kusoma BURE HADI CHUO KIKUU tukimchagua SLAA kuwa RAISI.Hakuna haja ya michango.Ukiuza ndege ya raisi tu wote hawa wanasoma vema,hapo sijagusia madini!!.tubadilike,tubadili uongozi!!!eeeh sijui tusemeje watu waelewe
Wewe nawe.. yaani bandiko katika blog yako shurti uje ulitangaze hapa?
Kibunango sasa ulitaka alibandike wapi kama sio hapa? Kama una picha za kuonesha mafanikio ya awamu ya kwanza ya muungwana weka hapa watu waone hata kama ikiwa picha ya MAXIMO; wasomaji watapembua mchele na pumba!!
Kati ya watu ambao wamechangia kwa kiasi kikubwa kwa CCM kuanguka basi JK ametoa mchango mkubwa sana.
niaje wadau? Naomba kwa leo niwape kile nilichokikuta kwa soko mjini Tabora. Mchele kilo Tsh 1200-1500, sukari kilo 1700, unga kilo 800, mafuta ya taa litr ni sh 1600, mkaa gunia Tsh 1200, umeme kwh moja ni sh 147, mafuta ya kula lita moja na nusu ni sh 4500, maharage kilo ni sh 1200, dagaa kilo sh 3000, samaki kilo ni sh 5000, nyama kilo ni sh 3000, maji tulikuwa tunanunua dum sh 500 ingawa sasa hivi mvua zinanyesha tumepata nafuu kidogo. Kwa hali kama hii jamani mbona twafaaa??? Hivi kwa hii mishahara ya serikali isiyokutana tutafika?