Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,036
- 1,665
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora zaidi Mjini Bnei Brak
Austin Chipeta, Kiongozi wa Jamii ya Wamalawi nchini humo amesema Watu hao wamezuiliwa kwenye Gereza lenye Usalama mkubwa huku wakisubiri kurejeshwa katika Nchi zao
Mwaka 2023, Wamalawi 221 waliondoka kwenda Israel kufanya kazi kama Wakulima katika makubaliano ya Usafirishaji wa nguvu kazi yaliyosainiwa kati ya nchi hizo mbili mwaka wa 2022
Kwa mujibu wa gazeti la Israel la Haaretz takriban Wanafunzi wa Kigeni 17 walioletwa na Serikali kwa ajili ya Programu ya Kilimo wamekuwa Waathirika wa Utumwa Mamboleo
Makubaliano hayo yalikabiliwa na Ukosoaji huku makundi ya Haki Za Binadamu wakielezea wasiwasi wao kuhusu siri inayozunguka makubaliano hayo na hatari za usalama kwa Wafanyakazi
.......
Malawians arrested in Israel for abandoning farm work
Israeli army officer cadets, who volunteered to harvest Chenin Blanc white wine grapes in the Nana Estate Winery vineyards, are briefed before starting to work at dawn on August 3, 2022 near Mitzpe Ramon in Israel's Negev Desert.
A dozen Malawians have been arrested in Israel for leaving their designated work stations in farms to seek employment in a town, authorities said.
They were among 40 foreign workers who abandoned their farm work in southern Israel to seek jobs at a bakery in Bnei Brak city, east of Tel Aviv, Malawi's Information Minister Moses Kunkuyu told local media.
He did not say if Malawi was engaging with Israeli authorities about the matter, but only urged Malawians there to respect the terms of their employment and avoid engaging in illegal activities.
Austin Chipeta, the leader of the Malawi society in Israel, told Malawi's The Nation news website that the group, which fled the Arava and Lion farms, was detained at a maximum security prison in south Tel Aviv, near Shapira neighbourhood, pending deportation.
Salaries in the farms are much lower and the Malawians were seeking better paying jobs in nearby towns, Mr Chipeta said.
Last year, 221 Malawians departed for Israel to work as farm labourers in a labour export deal signed between the two countries in 2022.
The deal is aimed at generating more foreign exchange revenue for Malawi and providing employment opportunities for its citizens.
However, the deal has faced criticism and controversy, with some opposition politicians and human rights groups expressing concerns about the secrecy surrounding the deal and the potential risks to workers’ safety.
According to Israel's Haaretz newspaper, at least 17 foreign students brought over by an Israeli government farming programme have ended up as victims of modern slavery
Source: BBC
Austin Chipeta, Kiongozi wa Jamii ya Wamalawi nchini humo amesema Watu hao wamezuiliwa kwenye Gereza lenye Usalama mkubwa huku wakisubiri kurejeshwa katika Nchi zao
Mwaka 2023, Wamalawi 221 waliondoka kwenda Israel kufanya kazi kama Wakulima katika makubaliano ya Usafirishaji wa nguvu kazi yaliyosainiwa kati ya nchi hizo mbili mwaka wa 2022
Kwa mujibu wa gazeti la Israel la Haaretz takriban Wanafunzi wa Kigeni 17 walioletwa na Serikali kwa ajili ya Programu ya Kilimo wamekuwa Waathirika wa Utumwa Mamboleo
Makubaliano hayo yalikabiliwa na Ukosoaji huku makundi ya Haki Za Binadamu wakielezea wasiwasi wao kuhusu siri inayozunguka makubaliano hayo na hatari za usalama kwa Wafanyakazi
.......
Malawians arrested in Israel for abandoning farm work
Israeli army officer cadets, who volunteered to harvest Chenin Blanc white wine grapes in the Nana Estate Winery vineyards, are briefed before starting to work at dawn on August 3, 2022 near Mitzpe Ramon in Israel's Negev Desert.
A dozen Malawians have been arrested in Israel for leaving their designated work stations in farms to seek employment in a town, authorities said.
They were among 40 foreign workers who abandoned their farm work in southern Israel to seek jobs at a bakery in Bnei Brak city, east of Tel Aviv, Malawi's Information Minister Moses Kunkuyu told local media.
He did not say if Malawi was engaging with Israeli authorities about the matter, but only urged Malawians there to respect the terms of their employment and avoid engaging in illegal activities.
Austin Chipeta, the leader of the Malawi society in Israel, told Malawi's The Nation news website that the group, which fled the Arava and Lion farms, was detained at a maximum security prison in south Tel Aviv, near Shapira neighbourhood, pending deportation.
Salaries in the farms are much lower and the Malawians were seeking better paying jobs in nearby towns, Mr Chipeta said.
Last year, 221 Malawians departed for Israel to work as farm labourers in a labour export deal signed between the two countries in 2022.
The deal is aimed at generating more foreign exchange revenue for Malawi and providing employment opportunities for its citizens.
However, the deal has faced criticism and controversy, with some opposition politicians and human rights groups expressing concerns about the secrecy surrounding the deal and the potential risks to workers’ safety.
According to Israel's Haaretz newspaper, at least 17 foreign students brought over by an Israeli government farming programme have ended up as victims of modern slavery
Source: BBC