Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,473
- 21,953
Maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa 2005 hadi 2015.
Tulidanganywa hivyo kipindi hicho, tukadanganyika kwa miaka 10, baada ya hapo jomba akasepa akiwa na kitita cha kutosha kumpa maisha bora yeye tu na watu wake.
Hivi kwa nini huwa tunakubali kudanganywa kirahisi hivyo?
Sasa tupo na "kazi iendelee" bado tunakodoa macho tu, ila maisha bora yapo kwa vigogo na watu wao, hata wakistaafu wamekuwa wakijirudisha tena madarakani ili kuendeleza maisha bora kwao na jamaa zao tu.
Kuna watu waliahidiwa kuwezeshwa kupata ajira, bila shaka waliamua kuwa bodaboda baada ya kukosa ajira, bado hayo sio maisha bora.
Mungu tuondolee viongozi waongo na mafisadi.
Tulidanganywa hivyo kipindi hicho, tukadanganyika kwa miaka 10, baada ya hapo jomba akasepa akiwa na kitita cha kutosha kumpa maisha bora yeye tu na watu wake.
Hivi kwa nini huwa tunakubali kudanganywa kirahisi hivyo?
Sasa tupo na "kazi iendelee" bado tunakodoa macho tu, ila maisha bora yapo kwa vigogo na watu wao, hata wakistaafu wamekuwa wakijirudisha tena madarakani ili kuendeleza maisha bora kwao na jamaa zao tu.
Kuna watu waliahidiwa kuwezeshwa kupata ajira, bila shaka waliamua kuwa bodaboda baada ya kukosa ajira, bado hayo sio maisha bora.
Mungu tuondolee viongozi waongo na mafisadi.