Mwaka 2005 asilimia kubwa ya magari yalikuwa yakipambwa na wheelcover zilizosomeka "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania".
Mbona sizioni tena?? Kulikoni?
Wenye mashangingi mutuambie![/QUOTE]
najibu kwa kuwa mpenzi wangu hapa kitaa wanamuita shangingi.
kwani hizi ni kampeni za mwaka 2005?
Alikuwa akiwategemea watu wa marekani walete hayo maisha bora, ndiyo maana kila siku alikuwa safarini,labda hawakumpa.Mwaka 2005 asilimia kubwa ya magari yalikuwa yakipambwa na wheelcover zilizosomeka "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania".
Mbona sizioni tena?? Kulikoni?
Wenye mashangingi mutuambie!
wakuu,
baada ya kuangalia picha hizi nimejikuta nalazimika kuwashirikisha link ili mjionee hali halisi ya maisha ya watanzania wenzetu:
the two photos above show an old woman called loi, in front of and in her house in ibwaga village. She has lost her sight with age, and lives with her daughter who is deaf. They normally depend on farming for their livelihood but last year their farm was among many others that were destroyed by the december floods in kongwa district. At the time photograph was taken they had stock of only ten kilos of uwere left.
zaidi endelea hapa:
pres. Kikwetes maisha bora kwa kila mtanzania « jamiiforums|tmf blogs
hapo umesema!! together we can!!Tuombe uzima....
Change is on its way!:A S tongue:
Haya maisha na mimi nimeyaishi, hapo usiwaambie kitu kuhusu CCM. Kwa hiyo kama kuna mtu anaona kwamba maisha hayo siyo bora ni wewe na mimi, maana wao ukikutana nao wanalalamika, ukija uchaguzi, ni wao na CCM.
Umasikini wa watanzania ni mtaji mkubwa sana wa CCM. Na wataendelea kuwafanya watanzania wawe masikini hivyo hivyo ili waendelee kushinda.