FuturePresident
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 321
- 54
Pia tutamkumbuka kwa kua rais wakwanza tz kuwaumbua mafisadi wanaoiba mali za tz nakuwapeleka mahakamani,pia kuvunja serikaliyake na kumtimua waziri mkuu kwa tuhuma tu zakushiriki ufisadi,hakuna hata rais 1 ktk east africa aliewahi kuwaumbua nakuwatimua mawaziri wake kwa kujihusisha na ufisadi.mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni.
Ndugu hii sio kweli....Huu ulikuwa ni usanii tuu... kama sio mchanga wa macho..ni nani ameshashafungwa mpaka sasa pamoja na ufisadi wa kutisha uliopo hata sasa????????