Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Haki gani atadai zaidi ya kuchaguliwa kwa kishindo mwaka 2005, hii ya 2010 sio haki yake ni Wizi tu ambao aliusuka na kuufanikisha. Tutamkumbuka sana kama rais mwizi.
mmh, hapo kwenye 'mwizi' atakuwa hajavunja katiba ya JMT, aliyoapa kuilinda na kuitetea?