Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Kila Rais hukumbukwa kwa jambo au mambo kadhaa mazito wakati wa muongo wa uongozi wake. Kwa upande wa JK, wa-TZ watamkumbuka sana kwa mambo makubwa matatu: 1. Vituko vya RA/EL na zengwe la Richmond/Dowans 2. Milipuko ya mabomu huko mbagala na g'mboto 3. Kashfa ya mabilioni ya fedha za EPA. Una lingine la kuongezea hata kama zuri, asije akasema wa-TZ hawajamtendea haki?
ATAKUMBUKWA KWA JAMBO MOJA MUHIMU SANA KULIKO HAYO ULOYATAJA AMBALO NI:-
Rais wa Kwanza Duniani kuongoza nchi Maskini SAANA kwa 10 Bila kujua Chanzo cha Umaskini wake!