Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,957
- 4,138
Kipindi cha JK, hadi watoto wa primary waliandamana eti nao wanadai haki yao, wanavyuo, vyama pinzani, mpaka wabadini nao waliandamana kudai haki zao
Inashangaza sana
Nakumbuka 2013 nilikuwa kwenye viunga vya Bagamoyo, na kipindi hiko mgao wa umeme ulikuwa umepamba moto sana kiasi cha wananchi kutaka kugeuza nyaya za umeme kuanikia nguo
Sasa bhana, Tanesco walikuwa wmezoea kukata umeme kila siku za Ijumaa muda wa Ibada za Dini
Nalisikia sauti nyingi kwenye nyumba ya kuabidia zikisema kwa vitisho, Ole wenu Tanesco wiki ijayo mkate umeme, hiyo ofsi yenu haitatosha, tutawachomoa mmoja baada ya mwingine
Mmezoea sana, siku ya Ibada ya wenzetu hamkati muda wao wa Ibada iweje iwe kwetu tu?
Tokea hapo Tanesco ya Bagamoyo, walitii sauti za wananchi
Mambo yalivyo sasa kwenye eneo la Nishati hii, ni sawa tu na kipindi cha JK
Wale wale waliokuwa wakimpigia kelele JK, Leo huwaambii chochote kuhusu uongozi uliopo leo, Umeme siku za Ibada unakatika tu na hakuna kelele, vipaza sauti vya kuitia watu hekaluni mwao, havitumiki sasa, wanatumia midomo yao
Hii inatufundisha nini? Mbona kwa Kikwete walikuwa wakali kama simba? Leo kuna nini na mambo yanaharibika zaidi?
JK alikuwa na damu ya Kunguni au ni nini kinawafurahisha zaidi wananchi wale wale waliokuwa tayari kuandamana kudai umeme kipindi cha JK na sasa huwaambii kitu hata kama mambo yataharibika zaidi
Hili la umeme, kiukweli linachosha sana kuliwaza, mambo mengi sana yanaharibika, biadhara zunadolola, Ibada haziendi sawa n.k
Inashangaza sana
Nakumbuka 2013 nilikuwa kwenye viunga vya Bagamoyo, na kipindi hiko mgao wa umeme ulikuwa umepamba moto sana kiasi cha wananchi kutaka kugeuza nyaya za umeme kuanikia nguo
Sasa bhana, Tanesco walikuwa wmezoea kukata umeme kila siku za Ijumaa muda wa Ibada za Dini
Nalisikia sauti nyingi kwenye nyumba ya kuabidia zikisema kwa vitisho, Ole wenu Tanesco wiki ijayo mkate umeme, hiyo ofsi yenu haitatosha, tutawachomoa mmoja baada ya mwingine
Mmezoea sana, siku ya Ibada ya wenzetu hamkati muda wao wa Ibada iweje iwe kwetu tu?
Tokea hapo Tanesco ya Bagamoyo, walitii sauti za wananchi
Mambo yalivyo sasa kwenye eneo la Nishati hii, ni sawa tu na kipindi cha JK
Wale wale waliokuwa wakimpigia kelele JK, Leo huwaambii chochote kuhusu uongozi uliopo leo, Umeme siku za Ibada unakatika tu na hakuna kelele, vipaza sauti vya kuitia watu hekaluni mwao, havitumiki sasa, wanatumia midomo yao
Hii inatufundisha nini? Mbona kwa Kikwete walikuwa wakali kama simba? Leo kuna nini na mambo yanaharibika zaidi?
JK alikuwa na damu ya Kunguni au ni nini kinawafurahisha zaidi wananchi wale wale waliokuwa tayari kuandamana kudai umeme kipindi cha JK na sasa huwaambii kitu hata kama mambo yataharibika zaidi
Hili la umeme, kiukweli linachosha sana kuliwaza, mambo mengi sana yanaharibika, biadhara zunadolola, Ibada haziendi sawa n.k