Namsikia hapa mkurugenzi wa NEC kuwa matokeo haya si rasmi ni ulongo.
Tayari kule kwake
Zitto kasema mwenyewe na kasema hashangilii kwani huu uchaguzi bila Deo hakuna maana kwake.
Angajitoa kabisa tuone kweli ana machungu,unafikiii tu
Roho yangu imepata kupumua
Hunishindi
Hongera sana Zitto,na wale wachaga Uraisi watausikia tu,halafu chama lako litashika dola baada ya mkoloni CCM
Matokeo yanatolewa na page ya uchaguzi huko fb
Hongera sana Zitto,na wale wachaga Uraisi watausikia tu,halafu chama lako litashika dola baada ya mkoloni CCM