NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
Vipi kwa hapo Kakonko kwenye jimbo la Buyungu hakuna mwenye updates?
Naona kauli inazidi kuwa ya kinyonge tofauti na zamani tunakumbuka ulisema mama wa ACT hawezi kupata hata kura 100, 000.Zitto akishindwa litakuwa jambo laheri.
Anasema huu ushindi ni dedication kwa Deo Filikunjombe.
Hongera sana ,bunge bila Wewe bado!!
Maneno yananiishia!!
Thanks God,we made it
Kwani tayar?