McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,120
- 2,167
ni Habili wa CCMAsante mkuu!
ni Habili wa CCMAsante mkuu!
Nikujidanganya hukoSio Kigoma peke yake itakayowakumbuka, hawa walikuwa wabunge wa jimbo na wa kitaifa.
Huyo kafulila alistahili hiloKipindi cha mwanzo wa mwaka huu kuna mjumbe alileta uzi hapa kwamba Asha Baraka, yule mkurugenzi wa African Stars-Twanga Pepeta anaendesha kampeni za kulitaka jimbo la Kigoma Kusini maeneo ya Nguruka kupitia Fisiemu.Wengi humu walipinga na leo nimeamini.Sasa kama huyu dada sijui Husna asiyejulikana popote eti kamshinda kafulila,Asha Baraka angeshindwa?. Poor Kigoma kusini/Uvinza kwa kumwaga shujaa Tumbiri.
Wewe pekeeMie ni mwenyeji wa jimbo la Kigoma kusini......kati ya mambo ambayo tumewahi kulitia AIBU taifa hasa wapenda mabadiliko ni kitendo cha kumwangusha Kafulila...