UTABIRI: Upinzani utapata zaidi theluthi moja ya wabunge 2025

Sayyid Khalifa

Senior Member
Jun 8, 2018
111
216
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
 
Pemba,

Kumbuka Rais anatoka Zanzibar, and chances are narrow for opposition to avail with the old situation of unionists vs nationalists.... almost all Zanzibaris as of now speaks the same language.

Chadema Bara.

Wahafidhina CCM bado hawakubali kushinda bila kupiga buti...

So hayo majimbo kwa opposition kushinda ni ya kufikirika sana kuliko uhalisia....

Nguvu kubwa sana inahitajika between now and 2025.
 
Kujifariji mko vizuri sawa na kilimo Cha whatsup na Twitter 😆😆

Ccm itashinda tena wengi sana kuliko wale wa 2015 Kwa sababu itaweka watu wanaokubalika..

Ukiona Upinzani umeshindwa ujue ccm walichomekea mgombea ambae sio chaguo la watu.
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
CHADEMA haipo siku hizi.
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Mkuu mbona mwanza umeipunguzia nyama sana😵 mwanza majimbo ya nyamagana ukerewe magu mpaka misungwi walioshikilia inabidi wajiandae kisaikolojia mapema
 
Pemba,

Kumbuka Rais anatoka Zanzibar, and chances are narrow for opposition to avail with the old situation of unionists vs nationalists.... almost all Zanzibaris as of now speaks the same language.

Chadema Bara.

Wahafidhina CCM bado hawakubali kushinda bila kupiga buti...

So hayo majimbo kwa opposition kushinda ni ya kufikirika sana kuliko uhalisia....

Nguvu kubwa sana inahitajika between now and 2025.
Kwa nafasi ya urais wa Zanzibar, ubunge,uwakilishi na udiwani mtiti ni uleule au zaidi. Labda kidogo nafasi urais wa muungano,tena kama mama ataadjust kidogo mambo ya muungano yanayolalamikiwa kila siku na wazanzibari.
Vinginevyo nguvu kubwa ya dola itahitajika kulazimisha ushindi kwa CCM.
Na huko pemba ndio kabisaa.
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Hayo yanawezekana kama tu sanduku la kura litaheshimiwa
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Wapiga kura wamelipuuza box la kura.
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Chadema itatwaa nchi na kuunda serikali
 
Back
Top Bottom