Kigoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

Lowersa ataishia kuwa kama nani??

Usidhihirishe ufupi wa fikra zako... Huyo mwanaume kawagongeni mbele na nyuma.

Mbaya sana mmeungana mkawa wa4 bado akawapiga vitu vya Nyosso. Dogo kichwa

Sasa unadhani Lowassa ataishia kuwa nani kwa akili yako? Akikosa urais basi Ataendelea kuitwa waziri mkuu msataafu hadi siku anakufa. Wewe ndio ujiulize Utaishia kuwa na nani wewe pamoja na ndugu na jamaa zako...
 
Acha mahaba kwani huko Tanga kuna wabunge wangapi wa upinzani mpaka uitaje hapo, mbeya kwenyewe mmeishia viti 3 tu. Tuambia arusha na klm tutakuelewa

Upinzani mtausikia katika mikoa mikubwa na yenye maendeleo Tanzania. Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, mbeya.. Hiyo mikoa ya maskini tuatendelea kusikia vichekesho vya watoto kusoma wamekalia matofali na kutumia choo cha shimo cha tundu moja wanafunzi wa shule nzima.
 
Kigoma ni ngome ya upinzani toka kuanza kwa siasa za vyama vingi. Katika bunge lililopita tumeshuhudia mchango mkubwa wa wabunge kutoka mkoa wa kigoma ikiwemo akina Kafulila. Machali, Zitto, Mkosamali, Buyogela na hata Serukamba. Historia ya vyama vingi inaonyesha kwamba mchango wa wabunge wa chama tawala bungeni ni hafifu kulinganisha na vyama vya upinzani.

Kigoma ilipata heshima kubwa kutokana na wabunge wenu hawa. Sasa hatutegemei kusikia tena jambo la maana kutoka kwenu maana sasa imebaki kuunga mkono hoja kwa kura za ndiyooooooooooooooo!

Sasa turudi nyuma. Wakati watu Lindi, Mtwara, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha wanaamua kuachana na Lipumba, Dr. Slaa na Zitto kwa kuamini kuwa hawa hawana jipya bali kugawa kura za wapinzani mliwaona wapuuzi kwa kuamini katika Zitto TU? Kwamba, Bora Zitto mmoja kuliko wabunge wakutosha wakutetea hoja za wananchi na kuchagua wanaolinda hoja za serikali? CUF walikuwa na kiti kimoja toka Bara sasa wana elekea 20, sasa nyinyi mlikuwa na 5 mmerudi 1, kisa Zitto? Huyo ndiye Mchawi wenu. ACT ni shiiiiida!

Samahani lakini, najaribu kukariri kama nimekuelewa vizuri... eti umesema ACT ni ya watu wa Kigoma? CUF ya watu wa Mtwara? CDM ya Kaskazini na Mbeya? kwa hiyo hivyo vyoote sio vyama vya kitaifa ila CCM tu? ...najaribu kuwaza tu wala sijauliza swali
 
Kigoma ni ngome ya upinzani toka kuanza kwa siasa za vyama vingi. Katika bunge lililopita tumeshuhudia mchango mkubwa wa wabunge kutoka mkoa wa kigoma ikiwemo akina Kafulila. Machali, Zitto, Mkosamali, Buyogela na hata Serukamba. Historia ya vyama vingi inaonyesha kwamba mchango wa wabunge wa chama tawala bungeni ni hafifu kulinganisha na vyama vya upinzani.

Kigoma ilipata heshima kubwa kutokana na wabunge wenu hawa. Sasa hatutegemei kusikia tena jambo la maana kutoka kwenu maana sasa imebaki kuunga mkono hoja kwa kura za ndiyooooooooooooooo!

Sasa turudi nyuma. Wakati watu Lindi, Mtwara, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha wanaamua kuachana na Lipumba, Dr. Slaa na Zitto kwa kuamini kuwa hawa hawana jipya bali kugawa kura za wapinzani mliwaona wapuuzi kwa kuamini katika Zitto TU? Kwamba, Bora Zitto mmoja kuliko wabunge wakutosha wakutetea hoja za wananchi na kuchagua wanaolinda hoja za serikali? CUF walikuwa na kiti kimoja toka Bara sasa wana elekea 20, sasa nyinyi mlikuwa na 5 mmerudi 1, kisa Zitto? Huyo ndiye Mchawi wenu. ACT ni shiiiiida!


Ukweli mtupu mkuu.
 
Kwa miaka 20 mikoa mingine ilipelekewa maendeleo na ccm ili khali kigoma ikiadhibiwa kwa utovu wa "nidhamu"sasa tumerudi ccm kutest zali
 
Imeandikwa ni heli tonge moja pamoja na utulivu kuliko nyumba iliyojaa sherehe na ugomvi.
 
zito ataishia kuwa kama kina Cheyo, Shibuda, mrema..... wapinzani uchwara walio tumiwa na ccm na baadae kuwa damped....tuombe uzima tu.....

Hiyo dhambi ya kumtukana aliyewaimarishia chama itaendelea kuwatafuna.

Mnashindwa kumnyoshea kidole Mbowe aliyeharibu ,,,mnamwandama Zitto msafi"
 
nitajiondoa huku kwa ajili ya kushambulia makabila----------------------- mods suala la ukabila naomba mlishughulikie maana ni kabila moja tu linaogopewa kila mara
 
Mnachekesha xana, baada ya kutusuliwa na MACCM ndo leo mnagundua kuwa Kigoma ni ngome ya upinzani, eti, kabulu alihangaika sana kwa ajiri ya upinzani mlipoona amewafikisha mnapotaka mkamnyanganya chama chenu, Zitto kahangaika nacho, baada ya kuwafikisha mnapotaka mkaamua kumuuondoa kwenye chama chenu, hiyo ni massage mkuu, kwamba wao hawashikwi masikio na wanaweza kuamua watakavyo, 2010 CDM mlipata kura nyingi za urais zaidi kigoma kuliko sehemu nyingine yeyote iiwemo uchagani, badala ya kuwapa heshia yao mkaanza kumudhalilisha Zitto, mkawaita wasaliti, eti mlitegemea tena wawape kura zao, nyie vipi.

Wewe utakuwa umekula migebuka iliyochacha. Sasa hapo mwenye hasara ni nani? Kwa taarifa yako hata huyo Zitto siasa za upinzani Kigoma zitampa shida sana kwani hatakuwa na support ya wenzake zaidi ya kushirikiana na ccm kama kawaida yake.
 
Kigoma nawasikitikia sana.

Kama kuna mkoa ambao unataka upate picha halisi ya umaskini wa mtanzania basi nenda kigoma

Anza kasulu, kibondo,buhigwe yaani "so sad"

Daah
 
Hujamaa haijui Kgm,Huku watu hawachagui chama,wanachagua mchapakazi,mwenye nguvu ya utetezi ktk masuala yanayohusu jamii.Tena tofauti ya kura kati ya mshindi na Machali ni ndogo sana.Tatizo si ACT isipokuwa kujipanga kwa CCM ndiyo sababu ya ushindi wao,hata kam wote wangekuwa CDM bado wangekatwa tu.
Acha uongo. Nsanzugwanko ni mchapa kazi wapi, hole mchapa kazi wapi. Zito alitumwa na ccm kuharibu upinzani na kurudisha majimbo yote ccm. Hebu fikiria mbunge wa upinzani unajadiliana na mbunge wa ccm kubadilishana majimbo.Inaingia akilini kweli. Kigoma hawajitambui
 
Mwaka huu Wachagga mtatukana kila kabila lililokataa kuwa nyumbu wa mbowe.
 
Mambo ya jimbo hilo yako kizungumkuti , dogo analalamika kwamba tume inataka kumhujumu jimbo lake , kwani mambo yakoje mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom