Mbona kama una hasira sana wewe! ! Mimi ni mwl wa Psychology. Nadhani utakuwa na frustration. Naona comments zako ni za ghadhabu tu na hasira.
Unajua kwenye maisha ya Siasa yanakwenda na nyakati. Unayemuona Jembe sana leo anaweza akafunikwa ndani ya miaka 5 na hata kupoteza muelekeo kabisa. Ingawa anaweza pia kuchanua zaidi na zaidi.
Kwahiyo wewe kama unamkubali zito basi muombee ili ndoto zake njema zitimie na afanye vizuri. Achana na mihemko yakushindana na kuendekeza asili yenu ya KUPENDA MASHINDANO YA UBISHI haijengi.
Zito kupata tena ubunge is not a big deal. Yaani sio habari inayouzika ila angekosa ndio ingekuwa ni Story. Au angepata wabunge zaidi ya mmoja kama alivyotegemea it could be a story.
Zitto will get stronger than any head from uchagani...
2020 mtakutana nae uraisini...
Mkosamali ameshindwa kupitia ACT pia? Punguza chuki binafsi za kike
Siasa ni zaidi ya kusukuma Chess kwenye meza za Casino...
Siasa ni zaidi ya kumbetia TaifaStars kumchapa Brazil...
Siasa ni mchezo wa wachezaji wababe...
Nani alijua leo Mbowe atamkumbatia EL, nani alijua Mnyika atamtukana ZZK??
CDM ikiamka kwa miguu mi2 nisage k*nde la kulia na kishoto...
#Zitto ni kisiki cha mdalasini
nilikua namuamini sana zitto ila kwa kinywa chake alikiri kuwa ALIANZISHA CHAMA NDANI YA CHAMA nilichana kadi nikaungana na laigwanan ZITTO NI MBINAFSI SANAA
Kigoma ni ngome ya upinzani toka kuanza kwa siasa za vyama vingi. Katika bunge lililopita tumeshuhudia mchango mkubwa wa wabunge kutoka mkoa wa kigoma ikiwemo akina Kafulila. Machali, Zitto, Mkosamali, Buyogela na hata Serukamba. Historia ya vyama vingi inaonyesha kwamba mchango wa wabunge wa chama tawala bungeni ni hafifu kulinganisha na vyama vya upinzani.
Kigoma ilipata heshima kubwa kutokana na wabunge wenu hawa. Sasa hatutegemei kusikia tena jambo la maana kutoka kwenu maana sasa imebaki kuunga mkono hoja kwa kura za ndiyooooooooooooooo!
Sasa turudi nyuma. Wakati watu Lindi, Mtwara, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha wanaamua kuachana na Lipumba, Dr. Slaa na Zitto kwa kuamini kuwa hawa hawana jipya bali kugawa kura za wapinzani mliwaona wapuuzi kwa kuamini katika Zitto TU? Kwamba, Bora Zitto mmoja kuliko wabunge wakutosha wakutetea hoja za wananchi na kuchagua wanaolinda hoja za serikali? CUF walikuwa na kiti kimoja toka Bara sasa wana elekea 20, sasa nyinyi mlikuwa na 5 mmerudi 1, kisa Zitto? Huyo ndiye Mchawi wenu. ACT ni shiiiiida!
mchawi wa siasa za kigoma ni zzk. machali angekaa nccr angeshinda kirahisi tu. alipoenda ACT watu wa nccr walimchukia akawa adui. jiulize kura za machali + mwl bunyaga si zinazidi za nsanzugwanko mteule wa ccm? upinzani ulikuwa na wabunge 5 wa upinzani sasa ni wawili tu labda aongezeke kafurira. nncr+chadema zimeshambuliwa na ACT majukwaani. zzk amewauza waha kwa kuwa system inamtumia
Unamuonea Zitto,wachawi ni Mbatia na MboweKigoma ni ngome ya upinzani toka kuanza kwa siasa za vyama vingi. Katika bunge lililopita tumeshuhudia mchango mkubwa wa wabunge kutoka mkoa wa kigoma ikiwemo akina Kafulila. Machali, Zitto, Mkosamali, Buyogela na hata Serukamba. Historia ya vyama vingi inaonyesha kwamba mchango wa wabunge wa chama tawala bungeni ni hafifu kulinganisha na vyama vya upinzani.
Kigoma ilipata heshima kubwa kutokana na wabunge wenu hawa. Sasa hatutegemei kusikia tena jambo la maana kutoka kwenu maana sasa imebaki kuunga mkono hoja kwa kura za ndiyooooooooooooooo!
Sasa turudi nyuma. Wakati watu Lindi, Mtwara, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha wanaamua kuachana na Lipumba, Dr. Slaa na Zitto kwa kuamini kuwa hawa hawana jipya bali kugawa kura za wapinzani mliwaona wapuuzi kwa kuamini katika Zitto TU? Kwamba, Bora Zitto mmoja kuliko wabunge wakutosha wakutetea hoja za wananchi na kuchagua wanaolinda hoja za serikali? CUF walikuwa na kiti kimoja toka Bara sasa wana elekea 20, sasa nyinyi mlikuwa na 5 mmerudi 1, kisa Zitto? Huyo ndiye Mchawi wenu. ACT ni shiiiiida!
Ila ZItto Kabwe kashindwa kutetea wenzake na kufanya wabunge wazuri wamekosa kuingia bungeni Roho inaniuma sana kwa Machali kukoseka bungeni dar. kAFULILAAA USIKUBALI WARUDIE HESABU
Kigoma ni ngome ya upinzani toka kuanza kwa siasa za vyama vingi. Katika bunge lililopita tumeshuhudia mchango mkubwa wa wabunge kutoka mkoa wa kigoma ikiwemo akina Kafulila. Machali, Zitto, Mkosamali, Buyogela na hata Serukamba. Historia ya vyama vingi inaonyesha kwamba mchango wa wabunge wa chama tawala bungeni ni hafifu kulinganisha na vyama vya upinzani.
Kigoma ilipata heshima kubwa kutokana na wabunge wenu hawa. Sasa hatutegemei kusikia tena jambo la maana kutoka kwenu maana sasa imebaki kuunga mkono hoja kwa kura za ndiyooooooooooooooo!
Sasa turudi nyuma. Wakati watu Lindi, Mtwara, Mbeya, Kilimanjaro, Arusha wanaamua kuachana na Lipumba, Dr. Slaa na Zitto kwa kuamini kuwa hawa hawana jipya bali kugawa kura za wapinzani mliwaona wapuuzi kwa kuamini katika Zitto TU? Kwamba, Bora Zitto mmoja kuliko wabunge wakutosha wakutetea hoja za wananchi na kuchagua wanaolinda hoja za serikali? CUF walikuwa na kiti kimoja toka Bara sasa wana elekea 20, sasa nyinyi mlikuwa na 5 mmerudi 1, kisa Zitto? Huyo ndiye Mchawi wenu. ACT ni shiiiiida!
Mnachekesha xana, baada ya kutusuliwa na MACCM ndo leo mnagundua kuwa Kigoma ni ngome ya upinzani, eti, kabulu alihangaika sana kwa ajiri ya upinzani mlipoona amewafikisha mnapotaka mkamnyanganya chama chenu, Zitto kahangaika nacho, baada ya kuwafikisha mnapotaka mkaamua kumuuondoa kwenye chama chenu, hiyo ni massage mkuu, kwamba wao hawashikwi masikio na wanaweza kuamua watakavyo, 2010 CDM mlipata kura nyingi za urais zaidi kigoma kuliko sehemu nyingine yeyote iiwemo uchagani, badala ya kuwapa heshia yao mkaanza kumudhalilisha Zitto, mkawaita wasaliti, eti mlitegemea tena wawape kura zao, nyie vipi.
He is back in da house once again. najua tumbo zenu tiar zilishaanza kupata mchecheto maana jamaa atakua anapigilia misumari ile mbaya.Imebidi niquote post yote, kula like trillion trillion.
Upinzani kigoma mtausikia kutoka Chuga, Kilimanjaro, Mbeya, Zanzibar na hata Tanga.
Kigoma bakini na Ndiyoooooo.
Zitto kawamaliza jumla
Zitto will get stronger than any head from uchagani...
2020 mtakutana nae uraisini...
Zitto kashindwa kuwatetea au amechangia kuwaangusha? Naamini na wenyewe wamepata funzo mujarabu la umoja ni nguvu na utengano ni.. .Ila ZItto Kabwe kashindwa kutetea wenzake na kufanya wabunge wazuri wamekosa kuingia bungeni Roho inaniuma sana kwa Machali kukoseka bungeni dar. kAFULILAAA USIKUBALI WARUDIE HESABU
Imebidi niquote post yote, kula like trillion trillion.
Upinzani kigoma mtausikia kutoka Chuga, Kilimanjaro, Mbeya, Zanzibar na hata Tanga.
Kigoma bakini na Ndiyoooooo.
Zitto kawamaliza jumla