hapa lazma kieleweke yan magamb lazma wahame h nch,
magaidi mnambwembwe nyie labda mtuue wote kwa sumu za slaa
hapa lazma kieleweke yan magamb lazma wahame h nch,
Mkuu, hoja zoka ni za msingi;hata hivyo,nimejikuta nacheka kwani umewapiga madongo mazito na ya ukweli mtupu!
Sio kila kichwa kinahifadhi akili!
Najua kwa uchaguzi wa haki CCM haiwezi shinda. Je uchaguzi wa haki unawezekana Tanzania?
nyie hatamtumii nguvu mnategemea sumu, na ugaidi wenu hapo knondoni
mkuu, u can kill people but
not ideologies, Ideology za CCM ni bora karne nyingi zijazo, vizazi
vitapita CCM bado itakuwepo, utaondoka wewe wanao pia watakijua chama
hiki hiki, CCM haiwezi kufa..
Naona mmeamua kujifariji na kujiliwaza.
mkuu jamaa wataalam wa sumu mbaya , tunabahati hapa Id zinatuficha ila wangetujua kesho wanaamka na sumu mkuu
Najua kwa uchaguzi wa haki CCM haiwezi shinda. Je uchaguzi wa haki unawezekana Tanzania?
mkuu, u can kill people but not ideologies, Ideology za CCM ni bora karne nyingi zijazo, vizazi vitapita CCM bado itakuwepo, utaondoka wewe wanao pia watakijua chama hiki hiki, CCM haiwezi kufa..