Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,653
Hichi Kibonde, si kilitagaga form 4. *Div 0*
so....?
Hichi Kibonde, si kilitagaga form 4. *Div 0*
Tofauti kati ya huyu jamaa na Kibonde ni kwamba, Kibonde hakuacha shule. Alisoma mpaka akamaliza, kisha akapata ZIRO....Bill Gates aliacha chuo na kwenda kuanzisha biashara, HAKUFELI!
<br />
<br />
nadhani vitabu kama vya robert kiyosaki vinaweza kumsaidia kupata mawazo mbadala kuhusu shule... Maana kila mtu anadhani akifaulu shule, basi kafaulu na maisha; lakini wapi bwana...
so....?
Ni vigumu sana kumpata mtu mwenye shughuli zake akawa na info za KibondeNimesikia tu juuu juu l
kuwa kibonde wa clouds amepata kazi tv ya kiswahili ya aljazeera..
kutangaza vipindi vya michezo....
sijui ni kweli....mwenye info na wabongo wengine huko aljazeera aweke hapa
ni good thing naona
Unajuaje kama hakuweka efforts katika masomo? Manake wapo wengine wana uwezo tena mkubwa tu lakini hawakuweka jitihada katika masomo na hivyo kupelekea kupata alama ambazo si za juu lakini hiyo haimaanishi kwamba kichwani ni watupu.
Na sufuri kwenye masomo ya shule si kushindwa maisha. Wangapi wana straight As lakini maisha yamewashinda? Usikute Kibonde ana maisha mazuri tu kukushinda wewe. Kutwa kucha kumnanga tu eti alipata ziro...so what kama alipata ziro? Wewe ulipata divisheni ngapi?
And who said academic excellence is the be-all and end-all of human existence?
Ukifail form four ndo umefail maisha kwan?? Acha wivu wa kike!
Mkuu nilidhani unatania kumbe ni kweli umeseti computer yako alarm ya clouds thread Alert?so....?
<br /><font color="#0000cd">Hapo kwenye </font><font color="#ff0000">red</font><font color="#0000cd"> unaonekana akili zako na maisha yako yalivyo!<br />
Kama wewe si mdhalilishaji wa wanawake basi wewe ni mnyanyasaji......<br />
Jaribu kufikiri kabla ya kuongea!</font>
<br />Ni vigumu sana kumpata mtu mwenye shughuli zake akawa na info za Kibonde
Al Jazeera wanaajiri failures? Nilisikia jamaa alitoka na zero pale Mzizima, sasa hiyo inaweza ikawa kikwazo kwake.