Ukate mzizi wa fitina we na nani? Hamna ligi za kipuuzi ka kushindanisha vyuo hasa hivi vya Tanzania. Chuo bora ni wewe mwenyewe.. Kama umetoka na msingi mbovu toka primary hata ukasome Harvard ni bure..
Ilitolewa complain hapa jamvini kwamba huyu dogo apigwe ban kwa thread zake za kipumbavu sijui kama mods wanalifanyia kazi hilo swala..
wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin
HOPE udsm is the best of all.!! Hata ukimuuliza mzee yeyote alioko kijijini kwenu swali kama hili bila kusita atakuambia ni "MLIMANI" So udsm is the best Followed by hurbert kahiruk then vingne vinafuata..kwa uthibitisho zaid nenda google then u search the best universty in africa.. Then utapata majibu
hallow wana jamii forum,to me i think MZUMBE is the best university in Tz!!wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin
acha kupotosha watu,udsm itabaki kuwa yenyewe! Eti wewe mwenyewe,acha uhuni wewe,udsm ulinganishe na sua,muccobs,saut,ifm etc! Matusi hayo!ni chuo gani tz hapa ambacho kina wahadhiri wenye sifa sifa kem kem,vyuo vingine ukiondoa udsm ni wavi tu ingawa mimi sikusoma udsm,udsm is the best university not only in east africa but also in africa!
hapo umesema uongo!! Kwa africa??? Au unasemea udsm nyingine sio hii tunayoifaham!!!?? Kajipange upya...acha kupotosha watu,udsm itabaki kuwa yenyewe! Eti wewe mwenyewe,acha uhuni wewe,udsm ulinganishe na sua,muccobs,saut,ifm etc! Matusi hayo!ni chuo gani tz hapa ambacho kina wahadhiri wenye sifa sifa kem kem,vyuo vingine ukiondoa udsm ni wavi tu ingawa mimi sikusoma udsm,udsm is the best university not only in east africa but also in africa!
toa sababu,sio unatoa point za bungeni hapa jf bana...hallow wana jamii forum,to me i think mzumbe is the best university in tz!!
wan jf ninaomba michango
yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora
wake il tukat mziz wa fitin