KATI YA SUA,MZUMBE,MUCCOBs,UDSM,SAUTna UDSM KIPI CHUO BORA NA KWA SABABU GANI?

mkuu umekosea chuo cha kwanza kuanzishwa ni 1.UDSM (1961)2.USHIRIKA (1963), 3.IFM(1972 KILIANZISHWA NA N.B.C), 3.IDM MYUMBE 4.SUA (1984) ,5.OPEN UNIVERSITY(1992) , 6.TUMAINI(1997), 7.SAUT(1998 ) ,

Wewe Polisi soma hapo Ushirika kwa amani. Ukirudi kazini hawatakuuliza ulisoma wapi na kwa vyovyote hautakuwa kuruta tena. Hizi bidii za kulinganisha Ushirika na Vyuo Kikuu hazitakusaidia.
 
Wewe Polisi soma hapo Ushirika kwa amani. Ukirudi kazini hawatakuuliza ulisoma wapi na kwa vyovyote hautakuwa kuruta tena. Hizi bidii za kulinganisha Ushirika na Vyuo Kikuu hazitakusaidia.

Mkuu umekosea ni chuo kikuu cha ushirika na stadi za biashara(MUCCoBS)
 
Mkuu umekosea ni chuo kikuu cha ushirika na stadi za biashara(MUCCoBS)

Chuo kikuu?

MUCCOBS sio chuo kikuu, ni chuo kishiriki cha SUA. Nitoe angalizo, kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuandika uongo humu jamvini utakao pelekea kupotosha watu.
 
Chuo kikuu?

MUCCOBS sio chuo kikuu, ni chuo kishiriki cha SUA. Nitoe angalizo, kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuandika uongo humu jamvini utakao pelekea kupotosha watu.
Acha kupotosha umma wewe,
Hujielewi mjinga wewe MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINES STUDIES ,, Ni Chuokikuu kishiriki cha SUA ,, Ndio maana MUCE ni chuokikuu kishiriki cha DSM
 
Acha kupotosha umma wewe,
Hujielewi mjinga wewe MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINES STUDIES ,, Ni Chuokikuu kishiriki cha SUA ,, Ndio maana MUCE ni chuokikuu kishiriki cha DSM

Umeongezeka nini ulivyotukana mkuu?

Hakuna mtu anae shindwa kutukana, jifunze ustaarabu unapokuwa kwa wastaarabu.
 
Back
Top Bottom