Akil za advance vip kuhusu baba ako vs mama ako!!
Kumbe na ww umeona jamaa kana mambo ya advance na utoto mwingi
Akil za advance vip kuhusu baba ako vs mama ako!!
Nilisoma chuo kidogo sana hapa tz ila ktk interview kazi ya muda un nikapata ila baadhi ya madenti toka udsm ifm mzumbe nk nikawamwaga so chuo bora ni kichwa yko tu na si vinginevyo
chuo bora sikijua,ila chuo kibovu nakijua nacho ni UDOM
Pitz mim sio zoba kama unataka kutofautiana na mim sema 2 kama mwenzio makamuzi alaa unataka niweke k2 unachopenda wewe
we mziki wangu unauweza kweli?ebu kakojoe ukalale dogo.
makamuzi ,ushajulikanaa aibu 2pu majina kama mpigamsuli na mkeshajiusiku yanakuudh nivema ukachangia au kaa kimya ****
dah hili tifu haliishi?! Mi najitolea kuwa refa atakaye shindwa apigwe ban naona mnapigana majungu uzi mzima.!makamuzi ,ushajulikanaa aibu 2pu majina kama mpigamsuli na mkeshajiusiku yanakuudh nivema ukachangia au kaa kimya ****
dah hili tifu haliishi?! Mi najitolea kuwa refa atakaye shindwa apigwe ban naona mnapigana majungu uzi mzima.!
vodkaaaaAggrr kumbe ni topic ya mpiga msuli,hebu nimuache akapige msuli hana jipya huyu.