.....:wink2: ...Wewe usitafute sababu ya kutorudi kazini kupitia JF..........:wink2:Angalia heading mkuu, ni hatari hapa, Sijui Kama tutarudi
Msimbazi na kidongo chekundu ni mapambano askari mmoja naona anavuja damu.
wakuu tunasikia kelele mtaa kongo ni kama zinasogea huku lakini tupo imara
Nipo mitaa ya posta hapa, zimepita defender kama 5 na full FFU hope zinaelekea huko Kkariakoo, Pia shughuli zote zimesimama kariakoo, na mabank yote yamefunga!
Mitaa ya Mchikichi, Congo, Msimbazi, Aggrey kute kumenuka.
ni Kariakoo kaandika kiarab, preta mimi naanza safari kuondoka kwenye fujo hizi nilishazoea za kwetu A town
Sasa mbona hao wafuasi wa majini wanakimbia?
JAMANI NO PICS?? WEKENI TUONE WATU WANAVYOJIKUNA! NAUKUMBUKA WIMBO WA DIAMOND SOUND, CHINI ALAN MULUMBA KASHAMA, OMARY MBONA UNAJIKUNA EE, OMARY MBONA UNAJIKUNA EE, SIYO SIRI MAMA, NINAWASHWA SANA, SIYO SIRI MAMA, NINAWASHWA SANA, NGWARA, NGWARALI, NGWARWALE!! lolest!