Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
kwa kweli mimi na CDM, nampenda sana Lema na nilikuwa mmoja wa waliompa kura kuwa mbunge Arusha, ila kwa suala la Urais nadhani bado sana, labada kwa uwaziri.
Kama hafai kuwa Rais hafai pia kumshauri Rais akiwa kama waziri! Urais si ukakamavu wa kusema na kutoa kauli. Urais ni taasisi si mtu.