johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Wakati Wanasiasa wengi wanatafuta Kiki kwa Kumtukana, kumkejeli na hata kumsingizia mabaya hayati Magufuli, mjumbe wa kamati kuu ya Chadema ameamua kutumia Njia tofauti
Lema awali alijaribu kumsema vibaya hayati Magufuli lakini baada ya mshua wake yule wa Kenya alivyoelezea alivyomtorosha Lema kutoka Arusha akiwa na familia yake na baadae kukamatwa na kuachiliwa Nabii Lema amebadili Gia
Kwa sasa Lema hamshambulii tena Magufuli kama mtu binafsi bali anamjumlisha kwenye taasisi nzima ya CCM
Ndio sababu unaona kwa sasa Lema Ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa sana hapa nchini pamoja na mapungufu mengi aliyonayo na wengine kumuona kama limbukeni
Wananchi wa Kawe nao wanamsubiri Lema aje awafafanulie ile ahadi ya askofu Gwajima ya kuwapeleka Marekani kama inatekelezeka
Ramadan kareem!
Lema awali alijaribu kumsema vibaya hayati Magufuli lakini baada ya mshua wake yule wa Kenya alivyoelezea alivyomtorosha Lema kutoka Arusha akiwa na familia yake na baadae kukamatwa na kuachiliwa Nabii Lema amebadili Gia
Kwa sasa Lema hamshambulii tena Magufuli kama mtu binafsi bali anamjumlisha kwenye taasisi nzima ya CCM
Ndio sababu unaona kwa sasa Lema Ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa sana hapa nchini pamoja na mapungufu mengi aliyonayo na wengine kumuona kama limbukeni
Wananchi wa Kawe nao wanamsubiri Lema aje awafafanulie ile ahadi ya askofu Gwajima ya kuwapeleka Marekani kama inatekelezeka
Ramadan kareem!