Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

Namtofautisha G. Lema na wanasiasa bali mwanaharakati aliyekamilika. Mtu mwenye uwezo wa kuhoji chochote bila kuogopa mtu.
Nakumbuka alihoji kushinda kwa kesi ya Zombe bungeni, Ulongo wa waziri mkuu na kuwasihi polisi kuangalia uma zaidi ya watawala. Hakukubali uhuni kwenye uchaguzi wa meya wala mwafaka wa kijinga.

Pili anamsimamo kitu ambacho wanasiasa wengi wanakikosa. Pamoja na kuvuliwa ubunge na kujaribu kuvutwa Lema yuko palepale. Ni tofauti sana ona wanasiasa kama Kafulila na Hamadi wabunge wa mahakama walivyopoa wakimwangalia JK Kwa jicho la upole ili aongee na majaji vizuri. Unamkumbuka Zito wa awali na yule wa baada ya kuwekwa kwenye Tume ya kuchunguza mikataba ya madini. Tume ile ilifanya kazi moja tu kumnyamazisha kabisa zito na kumuweka karibu na JK Na ilifanikiwa 100%.

Namfananisha na hayati Chacha Wangwe. Aliwahi kukataa dhamana kuwa bora afie jela kwani mikesi imekua mingi na inampotezea muda. Lema hana kiburi bali anamsimamo

Kikubwa zaidi hana papara kama wengi wanavyozani ndiomaana wakatiwote si mtu wa kutumbulia macho madaraka makubwa ndani ya chama au nchi yake japokuwa anajina na uwezo mkubwa. Kama ilivyo kwa Zitto au M.

Sijui elimu yake lakini ata kama ni form 4 poa tu kwani kawawa alikuwa waziri mkuu

hakuna mwanasiasa aliyehimili mikikimikiki kama G. Lema. John Mnyika sawa ila hana madhara kwenye harakati na hajapata misukosuko tukampima.

Nchi hii imejaa wezi wa mali ya uma na wanaiba waziwazi bila kificho tunaitaji mtu anaweza kukemea waziwazi bila kutumia nahau au tafsida. Mtu mwenye msimamo mkali na mzalendo kama G. Lema.

Kinachotakiwa kwa Tanzania mama yetu tunayoipenda ni uongozi wa kizalendo na utashi wa kuwahurumia na kuwatumikia wananchi, kama ikibidi GJL ateuliwe kuwa mgiombea wa urais 2015, sifa za utashi wake wa kuwapigania wanyonge anazo kede kede, So be it! CV za page 10 na shahada magumashi hazimsaidii lolote nyaya yangu kule kanyigo BK, hebu tafakari kidogo kuhusu PAUL CHIZI wa ATCL, ni mtaalamu kweli kweli, CV kabambe lakini je sare za warfanyakazi 15 tu kwa shilingi milioni 80 kweli????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Eh Mungu inusuru Tanzania yetu.
 
hatujawahi kua na Rais kutoka kaskazini so safari hii lazima kieleweke...kama sio slaa,lema,mbowe basi ni lowassa
 
Mbona mnaanza kugombania gawiwo wakati shilingi hamjazitia mkononi? Au ndo mnatafuta kuwavimbisha vichwa wanaharakati we2 ili waanze kurumbana na dira ye2 ipotee? Kama wamefanya vizuri wasifieni kwa nafasi walizonazo kwa sasa, na si kuhusiana na uchaguzi ambao mgombea urais hajateuliwa na chama. Au mnataka ya Wassira yatimie kwamba CDM haifiki 2015? Safari bado ndefu, na hawa jamaa wa magamba ni wataalamu wa rafu, wameshaandaa mikakati ya kuchafua chama che2 kuanzia kesho pale Jangwani hadi 2015, sasa mkiwakopa maneno yaku2mia, kwamba CDM wameanza kugombania Urais, ha2tafika mbali.

Naamini CDM si ya Slaa, Lema wala Zitto tu, hata we mwenyewe unayeisapoti ni yako, hivyo wapiganaji wacha wakijenge chama, mgombea hawezi kukosa wa kuiendesha nchi.

Kuna siri nzito hapa kati, yaani kuanzia 2012 mpaka Juni 2015, mengi yatatokea, ni bora tusianze kuamini kwamba tuko kwenye tambarare. Mtu hawezi kusema CDM inakufa 2015 hivi hivi wakati ye ndo mtaalam wa fitina, ni bora kila mtu aanze kuwaza ni jinsi gani tutakabiliana na fitina hizo kuliko kujadili hadharani tena kwa kauli nzito nani awe rais.

Kumbuka nchi hizi ziliyoyaona; Zanzibar (2000/2005), Kenya (2006), Ivory Coast (2010/2011), Misri (2012), bora ya Uganda ambapo rahisi M7 kila akilala akaota bado anapenda kuitwa rais anabadili katiba kidogo!
 
Namtofautisha G. Lema na wanasiasa bali mwanaharakati aliyekamilika. Mtu mwenye uwezo wa kuhoji chochote bila kuogopa mtu.
Nakumbuka alihoji kushinda kwa kesi ya Zombe bungeni, Ulongo wa waziri mkuu na kuwasihi polisi kuangalia uma zaidi ya watawala. Hakukubali uhuni kwenye uchaguzi wa meya wala mwafaka wa kijinga.

Pili anamsimamo kitu ambacho wanasiasa wengi wanakikosa. Pamoja na kuvuliwa ubunge na kujaribu kuvutwa Lema yuko palepale. Ni tofauti sana ona wanasiasa kama Kafulila na Hamadi wabunge wa mahakama walivyopoa wakimwangalia JK Kwa jicho la upole ili aongee na majaji vizuri. Unamkumbuka Zito wa awali na yule wa baada ya kuwekwa kwenye Tume ya kuchunguza mikataba ya madini. Tume ile ilifanya kazi moja tu kumnyamazisha kabisa zito na kumuweka karibu na JK Na ilifanikiwa 100%.

Namfananisha na hayati Chacha Wangwe. Aliwahi kukataa dhamana kuwa bora afie jela kwani mikesi imekua mingi na inampotezea muda. Lema hana kiburi bali anamsimamo

Kikubwa zaidi hana papara kama wengi wanavyozani ndiomaana wakatiwote si mtu wa kutumbulia macho madaraka makubwa ndani ya chama au nchi yake japokuwa anajina na uwezo mkubwa. Kama ilivyo kwa Zitto au M.

Sijui elimu yake lakini ata kama ni form 4 poa tu kwani kawawa alikuwa waziri mkuu

hakuna mwanasiasa aliyehimili mikikimikiki kama G. Lema. John Mnyika sawa ila hana madhara kwenye harakati na hajapata misukosuko tukampima.

Nchi hii imejaa wezi wa mali ya uma na wanaiba waziwazi bila kificho tunaitaji mtu anaweza kukemea waziwazi bila kutumia nahau au tafsida. Mtu mwenye msimamo mkali na mzalendo kama G. Lema.

umesikia wapi rais au kiongozi mzuri akawa ni mwanaharakati kama huyu wa kijamii? hata ikibidi anakua Rais hatakosa independent analysis na decision making kwa umakini kwa sababu wasomi watamzunguka na kumpotosha na form 4 yake..Tz inahitaji technocrat kama Magufuli na siyo hawa piga domo na siasa zisizoisha.
 
Namtofautisha G. Lema na wanasiasa bali mwanaharakati aliyekamilika. Mtu mwenye uwezo wa kuhoji chochote bila kuogopa mtu.
Nakumbuka alihoji kushinda kwa kesi ya Zombe bungeni, Ulongo wa waziri mkuu na kuwasihi polisi kuangalia uma zaidi ya watawala. Hakukubali uhuni kwenye uchaguzi wa meya wala mwafaka wa kijinga.

Pili anamsimamo kitu ambacho wanasiasa wengi wanakikosa. Pamoja na kuvuliwa ubunge na kujaribu kuvutwa Lema yuko palepale. Ni tofauti sana ona wanasiasa kama Kafulila na Hamadi wabunge wa mahakama walivyopoa wakimwangalia JK Kwa jicho la upole ili aongee na majaji vizuri. Unamkumbuka Zito wa awali na yule wa baada ya kuwekwa kwenye Tume ya kuchunguza mikataba ya madini. Tume ile ilifanya kazi moja tu kumnyamazisha kabisa zito na kumuweka karibu na JK Na ilifanikiwa 100%.

Namfananisha na hayati Chacha Wangwe. Aliwahi kukataa dhamana kuwa bora afie jela kwani mikesi imekua mingi na inampotezea muda. Lema hana kiburi bali anamsimamo

Kikubwa zaidi hana papara kama wengi wanavyozani ndiomaana wakatiwote si mtu wa kutumbulia macho madaraka makubwa ndani ya chama au nchi yake japokuwa anajina na uwezo mkubwa. Kama ilivyo kwa Zitto au M.

Sijui elimu yake lakini ata kama ni form 4 poa tu kwani kawawa alikuwa waziri mkuu

hakuna mwanasiasa aliyehimili mikikimikiki kama G. Lema. John Mnyika sawa ila hana madhara kwenye harakati na hajapata misukosuko tukampima.

Nchi hii imejaa wezi wa mali ya uma na wanaiba waziwazi bila kificho tunaitaji mtu anaweza kukemea waziwazi bila kutumia nahau au tafsida. Mtu mwenye msimamo mkali na mzalendo kama G. Lema.

nadhani umejigundua kuwa hauna akili sana
 
Back
Top Bottom