Nilipokusoma kwenye hizo quotes hao juu........NIKAJUA umevamia FANI za watu......na hata kama wewe upo kwenye fani hiyo basi........experience yako ni ndogo.......halafu usijidanganye ukifikir maamuzi wanayofanya Mwakyembe na Magufuli ni ya kwao binafsi.........kwa taarifa yako.....wameshauriwa na wataalamu waliopo kwenye Wizara zao............
Nevertheless.....Nakupongeza kwa kuwa Umejaribu!!.............BTW....hizi fani zina wenyewe aisee........wapi Morani75 .....wapi Fundi Mchundo ....
Nevertheless.....Nakupongeza kwa kuwa Umejaribu!!.............BTW....hizi fani zina wenyewe aisee........wapi Morani75 .....wapi Fundi Mchundo ....