muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
DART BRT aka Mradi wa mabasi yaendayo kasi “ A failure before start project “.
Niiloandika haya 2016 wakati wa kuanza tu kwa mradi huo Na kweli imekuwa kweli BRT umefeli kabla ya kuanza Na umekuwa ni disaster.
Mradi wa mabasi ya kwenda kasi aka DART or BRT una awamu 6 . Awamu ya kwanza mkopo Kutoka World Bank wa 180M Euro , Mradi was 2016-19 uliojenga km 21 za miundo wa Barabara za mabasi ya Mwendo kasi zilizotubadilishia miundo mbinu Na kutuacha Na barabara ya hovyo kabisa kuwahi kutokea toka Kimara mpaka Kivikoni, Katiakoo Na sinza Dar es Salaam zilizojengwa Na Strabag.
Awamu ya Pili Mkopo wa ADFB wa 160M USD wa Km 20.3 Toka Mbagara mpaka posta , Mradi wa 2016-2020 .. ambao hata sijui unajengwa Na nani Na lini utakamilika , ameharibu kabisa muundo mbinu ya barabara Na kuwa acha wakazi wa maeneo hayo kutaabika kwa foleni zisizo Na maana .
Malengo ya BRT or DART or Mwendo kazi yalikuwa yafuatayo:
1. kuweka miundo mbinu ya kurahisisha Na kupunguza muda wa wasafiri kufanya shughuli zao toka Dk 120 kwa safari mpaka Dk 25.
2. Kupunguza Gharama za Usafiri kwa abiria toka 1800 Tshs kwa safari mpaka Tshs 650 kwa safari .
3. kuondoa msongamano wa magari barabarani kwa kuweka mabasi , Ambapo basi moja lingeweza kuondoa Daladala 20 barabarani.
Je Mradi umefanikiwa? Total Hapana .. Hapana Kubwa .. Mradi umeleta balaa zaidi Na kuletea watanzania wanyonge Umasikini, kuachelewesha makazinj Na haukuzingatia miundo mbinu yetu Na tabia zetu hivyo kuleta foleni zisizo za lazima , ajali Na hata kuchelewesha magari madogo kwa faida ya Mwendo kasi.
Yafuatayo ni baadhi tu ya mapungufu yanayofanya Mradi kifeli
1. Gharama za nauli hazijazingatia kuwa wakazi wengi almost 80% wa Dar es Salaam wana kipato cha Chini ya 1.5$ per day ( 3500 ) Na hivyo kuwachukulia almost 2000 kwenye Nauli ya trip 3 ni kuwachukulia kipato chao chore cha siku .. Mradi umewaacha watanzania wengi kwenye lindi la Umasikini. Kumbuka kuwa watu Hawa wangetumia 1200 kwa Daladala kwa safari hizo kama zisingetolewa.
2. Kwa sasa kutokana na uchakavu Na Uchache wa mabasi abiria wanakaa vituoni kati ya Dk 30-60 kusubiri mabasi hivyo bado safari zao zina tumia kati ya Dk 90-120 wakati wa rush hour , hivyo Lengo la kupunguza muda kutofikiwa. kumbuka Dala Dala zilikuwa zina tumia muda huo sio kutokana na wingi wao bali ufinyu wa barabara kipindi hicho , Kama Dala Dala zingekuwa zimejengewa barabara yake zingetumia muda mchache zaidi chini ya 30 minutes .
3. Mradi umeleta usumbufu kwa wenye magari mengine , Kwanza kwa barabara nyembamba , Pili kwa kona zisizo za lazima Na tatu kwa kutokuwa rafiki kwa barabara za kuchepuka.. the total design is the mess.
4. Mradi pia umekuwa usumbufu wa abiria kwa kuwekewa vituo kati kati Na kulazimika Kuvuta barabara Na pia usalama kwenye vituo bado ni changamoto .
5. Kutukuwepo kwa mabasi muda mwingine Na kupelekea abiria kuwa stranded vituo I.
6. Ujenzi wake kama wa mbagara Posta kuchukua muda mrefu Na kuwa keto kwa watumiaji wa barabara.
Niiloandika haya 2016 wakati wa kuanza tu kwa mradi huo Na kweli imekuwa kweli BRT umefeli kabla ya kuanza Na umekuwa ni disaster.
Mradi wa mabasi ya kwenda kasi aka DART or BRT una awamu 6 . Awamu ya kwanza mkopo Kutoka World Bank wa 180M Euro , Mradi was 2016-19 uliojenga km 21 za miundo wa Barabara za mabasi ya Mwendo kasi zilizotubadilishia miundo mbinu Na kutuacha Na barabara ya hovyo kabisa kuwahi kutokea toka Kimara mpaka Kivikoni, Katiakoo Na sinza Dar es Salaam zilizojengwa Na Strabag.
Awamu ya Pili Mkopo wa ADFB wa 160M USD wa Km 20.3 Toka Mbagara mpaka posta , Mradi wa 2016-2020 .. ambao hata sijui unajengwa Na nani Na lini utakamilika , ameharibu kabisa muundo mbinu ya barabara Na kuwa acha wakazi wa maeneo hayo kutaabika kwa foleni zisizo Na maana .
Malengo ya BRT or DART or Mwendo kazi yalikuwa yafuatayo:
1. kuweka miundo mbinu ya kurahisisha Na kupunguza muda wa wasafiri kufanya shughuli zao toka Dk 120 kwa safari mpaka Dk 25.
2. Kupunguza Gharama za Usafiri kwa abiria toka 1800 Tshs kwa safari mpaka Tshs 650 kwa safari .
3. kuondoa msongamano wa magari barabarani kwa kuweka mabasi , Ambapo basi moja lingeweza kuondoa Daladala 20 barabarani.
Je Mradi umefanikiwa? Total Hapana .. Hapana Kubwa .. Mradi umeleta balaa zaidi Na kuletea watanzania wanyonge Umasikini, kuachelewesha makazinj Na haukuzingatia miundo mbinu yetu Na tabia zetu hivyo kuleta foleni zisizo za lazima , ajali Na hata kuchelewesha magari madogo kwa faida ya Mwendo kasi.
Yafuatayo ni baadhi tu ya mapungufu yanayofanya Mradi kifeli
1. Gharama za nauli hazijazingatia kuwa wakazi wengi almost 80% wa Dar es Salaam wana kipato cha Chini ya 1.5$ per day ( 3500 ) Na hivyo kuwachukulia almost 2000 kwenye Nauli ya trip 3 ni kuwachukulia kipato chao chore cha siku .. Mradi umewaacha watanzania wengi kwenye lindi la Umasikini. Kumbuka kuwa watu Hawa wangetumia 1200 kwa Daladala kwa safari hizo kama zisingetolewa.
2. Kwa sasa kutokana na uchakavu Na Uchache wa mabasi abiria wanakaa vituoni kati ya Dk 30-60 kusubiri mabasi hivyo bado safari zao zina tumia kati ya Dk 90-120 wakati wa rush hour , hivyo Lengo la kupunguza muda kutofikiwa. kumbuka Dala Dala zilikuwa zina tumia muda huo sio kutokana na wingi wao bali ufinyu wa barabara kipindi hicho , Kama Dala Dala zingekuwa zimejengewa barabara yake zingetumia muda mchache zaidi chini ya 30 minutes .
3. Mradi umeleta usumbufu kwa wenye magari mengine , Kwanza kwa barabara nyembamba , Pili kwa kona zisizo za lazima Na tatu kwa kutokuwa rafiki kwa barabara za kuchepuka.. the total design is the mess.
4. Mradi pia umekuwa usumbufu wa abiria kwa kuwekewa vituo kati kati Na kulazimika Kuvuta barabara Na pia usalama kwenye vituo bado ni changamoto .
5. Kutukuwepo kwa mabasi muda mwingine Na kupelekea abiria kuwa stranded vituo I.
6. Ujenzi wake kama wa mbagara Posta kuchukua muda mrefu Na kuwa keto kwa watumiaji wa barabara.