Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
- Thread starter
- #21
Watu mmempaka sana Paul Kijoka, lakini katika undani na mantiki ya hoja yake alikuwa na hoja yenye kuhold water. Hebu someni tena uzi wake "critically" hafu muangalie kama kweli mmemtendea haki huyu kamanda. Hoja zenyewe ni hizi Mmemtendea haki kweli? Haya aloyasema hayana ukweli au umaana katika utekelezaji? guys, you must always think big and avoid being myopic. Siyo kumshambulia tu mtu bila hoja ya maana badala ya kupangua hoja kwa kutumia hoja!!!!
[/LIST]
genekai, unajua sisi wasomi wa TZ tumelogwa! Na Ukweli ni kwamba tutalipa mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kusoma tukakosa Elimu. Niliyoyasema ni kweli lakini watu hapa wanaleta mzaha na mapenzi yaliyochochewa na magazeti hasa vichwa vya magazeti kwenye vyombo vya habari vya kidaku vya Tanzania (Sijainclued MwanaHalisi hapo). Ni kweli kuwa ata kujenga Reli ni more expensive kuliko kuboresha na kuweka barabara kwenye viwango hasa zile za pembeni. Mimi nimetaja Fly Overs as only one of the solutions ila nadhani kwa udahifu mkubwa wa wachangiaji wa leo wewe ndo umesomatu wengine wamelala nadhani.